Biashara ipi ya kuwekeza kipindi hiki kwa mtaji wa milioni 30 -50?

Matrekta yapo mkuu ila bado hayatoshelezi mahitaji demand ni kubwa mno kipindi cha msimu ndio maana nasema mpaka msimu unaisha uhakika wa kulaza kati ya 18-22m kwa trekta mpya
.... biashara ya kuingia shambani na kulima hailipi hata kidogo.. kama anataka awe anakusanya mazao kijijini na kuyahifadhi mpaka soko likiwa zuri na kwenda kuuza mjini....hatojutia
 
Acha kudharau pesa mkuu. Hiyo 40m inatosha sana ...tena sana. Bishara ya vipuri huwa tunakadiria kwa kuangalia bei ya chombo kizima. Sasa 40m zinaingia pikipiki za 2m ngapi hadi useme kuwa hiyo hela haitoshi mtaji wa spare za bike?
Usimdanganye mwenzio, million 40 ni ndogo mno kufunga mzgo wa spare za pikipiki China au kuuza jumla.
 
Biashara yeyote bila usimamizi dhabiti ni bora ule hiyo pesa chapati . Hapo kama hana muda sana kabanwa na mwajiri atafute location nzuri anunue ajenge frame au kama haitoshi ajenge nyumba za kupanga zile za chumba kimoja self na sebule anaweza jenga 2 ale kodi taratibu kila mwezi hata laki 200 jumla ni laki 4 kwa nyumba 2 siku mambo yakienda kombo kazini anaweza pata pakuanzia
 
Ungeomba ushahidi au reference kwa wanaofanya ungepewa kuliko kufanya general conclusion
Tunaomba reference na ushahidi huku ukificha identites za wanaofanya ili tukubali, naona wazo zuri japo ni la muda huduma zikija inabidi uhame
 
Nashukuru mkuu kwa mawazo lakini kama nilivyoainisha tatizo lake kubwa ni muda wa kusimamia mtaji anao ila hana nafasi sidhani kama ataweza kwenda china mara kwa mara. Ntampa idea ya kukucheki, muyajenge.
Kama hana muda namshauri asifungue biashara yeyote. Kama atafungua naomba baada ya mwaka mmoja aje arepply kwenye comment yangu hii akielezea mafanikio aliyoyapata
 
Rahisi tu....mkuu hana muda biashara zijui za kufunga mizigo nani kaenda dubai hawezi.

CARWASH
Ndio biashara pekee inayomfaa, kwanini nasema hivyo hii ni biashara isiyo hitaji mazagazaga mengi inahitaji kusimama tu then hata yeye siku akiacha kazi anaweza kuja nakuisimamia....Carwash nayozungumzia hapa ya mtaji kama 20M...30M apitie kutoka Buguruni kwenda ilala kuna Carwash moja pale aone mfano hatojuta...jamaa ana mtaji mzuri alafu hana muda investment kama hizi ndio zina mfaaa.

Aweke mzigo ajenge project nasimamia kilakitu hapo....rahisi ku-manage.

Hiyo car wash iko upande gani mkuu, nataka nikajifunze kitu.
 
Daah kweli maisha tunatofautiana yaani kuna mtu ana 40m ila hana business idea mm sina hata 100 ila nina idea za biashara kama laki hivi kweli nineamini masikini ndio tunaongoza kwa idea za biasharaa

Unaweza kudhani tu kua una wazo la biashara kumbe una KICHEKESHO tu 🤣
 
Achukue baadhi ya hizi ....

1.Aje Dodoma afungue kiwanda cha kufyatua na kuuza tofali,hii biashara inalipa sana watu wanajenga balaa kwa Dodoma,hapa anaweza kuweka na ki min shop cha hard ware.location zipo nyingi sana za kufanya hii biashara.

2.Aje Dodoma afungue kiwanda kdg cha kusaga na kupaki unga wa mahindi,asee hapa pesa ataikimbia mahitaji ni makubwa sana,waliopo wanaofanya hii biashara hawakidhi mahitaji ya wateja kwamba mda mwingi unga haupo mitaani.location zipo za kutosha nawez kwemwelekeza bure kabisa.

3.Anunue tractor la kilimo alipeleke Manyara,hapa pesa ni nyingi sana na ya uhakika.location za kupeleka tractor kwa Manyara zipo nyingi sana na pesa zipo nyingi sana.
Mkuu una idea na hii namba moja
 
Mtoa mada anaogopa kusema ni yeye ana hofu watu wasije mkaba maana ni hatari m40 sio mchezo kwa sisi makapuku,yaan nikiwa nayo hyo umasikini ndo bye bye,ukiwa huna hela unakuwa na idea nzuri za biashara ila ukishakuwa na hela idea zinapotea,ndomana nina utaratibu wa kuandika nilifikirialo ili nikija kupata mpunga iwe rahsi kutusua
Mkuu iyo hali hutokea kwa kila Mtu kipindi huna pesa yaani unakuwaga na mawazo mengi kwa sababu your nothing to fear kila biashara unayoona unatamani kufanya, Sasa pata pesa kila biashara unayoona unafikiria what if nikiweka pesa alafu zikapotea yaani hapa ndo mtihani mkubwa, Kila biashara inalipa cha msingi uwe tayari kujifunza na kupata experience ya kutosha kwenye biashara husika..shida ya shule ya biashara unajifunza huku unapoteza pesa, muda, watu wa karibu..Ni kama tu chuo au shule unapata Sapp, unarudia tena na tena mpaka ufaulu ukishindwa una disco, na kwenye business it's same wale wavumilivu na wasiokata tamaa ndo wanatoboa.
 
Video & Photography/digital studio business 🙌 🙌

ina pesa ina pesa ina pesa Mchawi ni mtaji tu wa vifaa

maana unaweza pokea order ukaitwa hadi ukajuta kujulikana

Hii kitu pesa imelala hapa tena ulimwengu huu wa wauza sura huu
 
Kama ana plot mahali ajenge vyumba kadhaa classic ale kodi au kama sio hela ya mkopo aache kazi akomae na biashara. Ila kumpa mtu hela eti ni partner ataumia soon.
Na wapigaji wenyewe ndo tele humuhumu JF
 
Mtoa mada anaogopa kusema ni yeye ana hofu watu wasije mkaba maana ni hatari m40 sio mchezo kwa sisi makapuku,yaan nikiwa nayo hyo umasikini ndo bye bye,ukiwa huna hela unakuwa na idea nzuri za biashara ila ukishakuwa na hela idea zinapotea,ndomana nina utaratibu wa kuandika nilifikirialo ili nikija kupata mpunga iwe rahsi kutusua
Unajua Sababu ni nini?
Hii inatokana na Hofu ya risk ya kuzipoteza hizo ulizonazo mkononi. Ukiwa huna fedha huna risk so kichwa kinawaza idea nyingi mno, ukiwa na hela na ukaanza kuzirejea hizo idea ulizokuwa nazo kabla hujawa na hela cha kwanza kinachokujia ni hofu ya kuzipoteza ukijaribu idea hizo

Yani simple mathematics ya hela ni hivi, When you don't have it the flow of ideas in your head is like ocean water but when you finally have the money for investment that flow of ideas is replaced by the flow of risks on all the ideas you had bfore
 
Hata MIE Nilikuwa kama wewe.ukizipata utashangaa ideas zinapotea unakuja kutuomba sh mia. Tena muda ambao amemaliza chuo unakuwa active sana kichwani.I bet upate even one b idea inapotea
Daah kweli maisha tunatofautiana yaani kuna mtu ana 40m ila hana business idea mm sina hata 100 ila nina idea za biashara kama laki hivi kweli nineamini masikini ndio tunaongoza kwa idea za biasharaa
 
Back
Top Bottom