Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,086
Nashudia live haya mambo nipo kwenye taasisi ambayo wafanyabiashara inabidi watoe maelezo yenye ushahidi wa hali zao kibiashara ili tuweze kuwasaidia kama wadhamini wa shida wanazopitia,
itoshe kusema wafanyabiashara waliofanikiwa ni wachache, usikurupuke kutamani biashara kwa kuwaangalia hawa wachache ukadhani wengi wana hali hizo, utavamia mtumbwi wa vibwengo !!
kiuhlisia wafanya biashara wengi sana wanapitia magumu kwa stress za marejesho ya mikopo, wateja wachache, ushindani kuharibu faida, kushinda ofisini kila siku asubuhi hadi usiku, kushindwa kulipia frem, kufirisika, n.k,
ni tofauti na waajiriwa wengi hasa wa serikalini, hawafikii mafanikio ya wafanyabiashara wachache matajiri lakini angalau wana uhakika wa kipato.
Unaanza kujiuliza, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"
itoshe kusema wafanyabiashara waliofanikiwa ni wachache, usikurupuke kutamani biashara kwa kuwaangalia hawa wachache ukadhani wengi wana hali hizo, utavamia mtumbwi wa vibwengo !!
kiuhlisia wafanya biashara wengi sana wanapitia magumu kwa stress za marejesho ya mikopo, wateja wachache, ushindani kuharibu faida, kushinda ofisini kila siku asubuhi hadi usiku, kushindwa kulipia frem, kufirisika, n.k,
ni tofauti na waajiriwa wengi hasa wa serikalini, hawafikii mafanikio ya wafanyabiashara wachache matajiri lakini angalau wana uhakika wa kipato.
Unaanza kujiuliza, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"