Lemongrass
Member
- Apr 23, 2023
- 39
- 52
Wanajamvi naomba ushauri, nataka kuanzisha biashara itakayonipatia faida mtaji 10M, location - Arusha
Note
1. Biashara ambayo haitahitaji usimamizi wangu wa karibu
2. Itakayonipa urahisi wa kumu-monitor nitakayemuweka kusimamia biashara
Note
1. Biashara ambayo haitahitaji usimamizi wangu wa karibu
2. Itakayonipa urahisi wa kumu-monitor nitakayemuweka kusimamia biashara