Nenda pembezoni mwa jiji....fungua duka genge...pombe za kienyeji....mishkaki....kibanda umiza.....na chennji inabaki m+Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milion 2 naitaji kufanya buashara Dar es salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
Zaidi ya 100 billion ipo kwenye mzunguko kila siku ndani ya huo mkoa.Uza nguo. Ila kwanini usihame mkoa. Why everybody talks about Dar
Usijiroge kuondoka Dar labda kama unataka kulima, asikudanganye mtu, Dar ndio mwanzo wa mrija mkuu wa fedha na ndio mjini kwingine kote vijijini.Kwel mkuuu na biashara ni mzunguko wa Pesa
Uza nguo Dar. Ila kuna fursa mikoa mingine. Mimi nipo Kariakoo.. hao wote waliopinga wazo la ufikirie kkoo. Bado wao pia wanawaza hawajui chochote nachosema. Penda kusikiliza hoja boss. AsanteMizunguko wa biashara mkuu Dar watu ni wengi
GreatChukua line za uwakala
Sana hafu pia ni stress free biznes kwa mtaji huo wa 2 mil hukosi atleast laki 4-5 per month na ukipata sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu inazidi hiyo hela.Uwakala unalipa mkuu nipe muongozo
Sana hafu pia ni stress free biznes kwa mtaji huo wa 2 mil hukosi atleast laki 4-5 per month na ukipata sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu inazidi hiyo hela.