Bi Hellen, tunataka taarifa iliyokwenda The Hague si maneno matupu

Comrede Nico!
Nilichogundua siku nyingi ni kuwa unaweza kumpa mtu majibu mafupi yaliyonyooka akashindwa kukuelewa; na hata ukimpa marefu ya kueleweka ataona uvivu kusoma na ataendelea kubaki kuwa asiyejua 'Mjinga'..
Huyu jamaa ana tatizo la kawaida sana ambalo watawala wengi kama Wasirra na Lukuvi wanalo; hudhani kuwa wao ndio wanaojua kila kitu na hakuna anayeweza kuelewa na kufanya vitu vya msingi kuliko wao. Najaribu kumjibu kwa ufupi sana kwa sababu najua hata nikimjibu marefu hatakubali ukweli wala kuelewa.

Well said..... hilo tatizo limepata mbolea katika utawala wa CCM.Ndio maana ni salama sana kutumia media km JF.kwani ungeongea nao directly,akiwa na kundi la watu wenye fikra kama zake, wangekushambulia kwa makelele, na fujo nyingi na kupoteza muda mrefu kuulizia vyeti, historia na ujinga mwingine mwingi tuu kwa vitu vya kumaliza katika fikra tuu.

Kinachoumiza ni kwamba kwa jinsi walivyo kifikra na mamlaka waliyopewa ni hatari sana kwa uhai wa taifa na watu wake.Ni kama raia makini anavyoona hatari "kiziwi aliyepofuka aliyeomba na kupewa kazi ya ulinzi katika fuel station.Halafu akaenda mbali zaidi kutaka apewe jiko la mchina la kupikia kwa kisingizio kuwa ataweka number ya fire brigade ili awapigie hatari ikitokea,bila kujua hatoweza pata taarifa katika simu siku wengine wanaona hiyo hatari"
 
Aanze na wale walio fanya mauaji ya raia zaidi ya 35 kule pemba...othewise awache kujitafutia masifa
waliuliwa kule pemba , zanzibar na hata hapa dar es salaam hatukumsikia huyu....aache unafiki
double standard yao ndio inafanya hio NGO yake iwe ni ulaju tu hakuna cha maana
 
Deus F Mallya, jaribu kufikiri hadi mwisho wa akili yako yote, halafu eleza, ni kwa namna gani mnataka kwenda the hague....tafadhali eleza ili ueleweke....

Teh teh..tatizo ni shule ulizopitia au ni wewe mwenyewe? Kama ni wewe the issue ni ya wataalamu wa akili,ila kama ni shule naomba niambie ili wanangu wapitie hiyo njia.

Hatuendi shule ili kukariri na kurudiarudia hayo tuliyokariri forever....Hizo section zihitajizo watu wa namana hiyo wamekuwa replaced kwa Robots, ndio maana hakuna haja ya kukaririsha vitabu vya dini katika vichwa vya watu wakati kuna sehemu salama na hakika zaidi kama karatasi,komputa , na vinginezo..Suppose Mama Hellen hajui procedures ila katinga katika office mojawapo wa ICC au hata human right watch group moja,halafu akaambiwa umekosea ,wenzetu si wajinga kiasi cha kukataa kitu bila kutoa maelezo elekezi au mbadala.Lazima watampa procedures sahihi.Sijui utathibitisha vipi kuwa hatofikisha maishtaka....?
 
Kwa hiyo anataka kwenda the Hague kama sehemu ya kufanyia field ya alichosoma au ana sababu ya kushtaki huko the Hague? Unajua wakati mwingine kabla ya kukurupuka kwenda kwenye media na kutoa porojo ni vizuri ukapata ushauri hata nyumbani,co-workers nk. Sitaki kuamini kama huyu mama ameolewa,pengine social frustrations zinakuwa sababu ya yeye ku-behave hivi. Ni upuuzi wa hali ya juu kufikiria kushtaki polisi the Hague,wakati huna evidence ya kutosha polisi ndio waliomuua mwandishi! Hii ndio mara ya kwanza mtu kufa kwenye vurugu kati ya polisi na raia? Na vipi kuhusu polisi wanaouwawa na raia wakiwa kwenye utekelezaji wa majukumu yao? au polisi sio watu? Na ungesema nini kama katika vurugu zile angekufa polisi na sio raia? Na hii inadhihirisha ni jinsi gani wasomi wa Tanzania walivyo vilaza!

Mnatia aibu kuwaita wanaharakati,eti kituo cha sheria na haki za binadamu,BINADAMU WEPI? Binadamu maana yake ni nini kwa tafsiri ya Chadema? Mapigano yanatokea kila siku kwenye vurugu,imani za kishirikina,vita vya kikoo na kabila huko Tarime,wafugaji na wakulima maeneo mbalimbali,hawa wanaokufa sio binadamu,ila akifa mtu mmoja kwenye vurugu za chadema, Helen Bisimba anaamka usingizini! Shame on you! Lakini ukitokea wizi kwenye mabenki,mitaani kwenu mnapoishi,mnawataka polisi hawa wakasaidie! Hatujawahi kusikia hata siku moja Helen Bisimba na kituo chake,au watu wa chadema wakienda kupambana na majambazi wenye silaha wanapovamia mabenki,bar,mahotelini..na kwingineko. Hivi hii nchi ina watu aina gani?

Unamshambulia mtu au unajibu hoja kwa Bi Helen alichokusudia kukufanya! naona unatoa povu tu kwa kuwa pengine umeshikwa nyuma siyo!! eeh nyuma huko kwenye mlima unaokalia...! Jibu hoja si kumshambulia mtu! mmeuwa watu wengi wewe na babako lakini naona hujui kuwa now is too much! babako alipokuwa anaanguka aanguka kwenye mikutano alikwenda kumwona she yahaya... siku hizi anaanguka tena??? so anachosema Bi helen ni kwamba mmezidi kuuwa ni lazima sasa hatua sichukuliwe ili mkome kuuwa raia ovyo!
Askari akifa akiwa anapambana na majambazi atetewe kwa nini wakati hiyo ni kazi yake we ovyo kabisa! Kabla mtu hajawa askari hupitia mafunzo maalumu ya kumjenga kifikra kuwa kazi aliyochagua kufanya ni ya kulinda na wakati mwingine kulinda kwa kupambana na katika mapambano kuna kufa so askari akatetewe na watu haki za binadamu kwa msingi upi! we ovyo kabisa hujui unachooandika"dead mind"
Mabaa,mabenk na mahotel yote ni yenu nyie mliotunyonya! ilo lipo wazi na jambazi hawi jambazi ipo sababu ya yeye kuwa jambazi! mfumo mbaya wa utawala wenu huku mkijilimbikizia mali unawafanya wengine wabuni njia ya kuilejesha mali yao mlioikwapua kwao eti kwa kuwa ninyi ni watawala! Hivyo bi Kijobi hana haja ya kuwatete ninyi wanyang'anyi! Ovyo kabisa mnyonyaji mkubwa wewe!


 
Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Bi Hellen Kijo Bisimba ametangaza nia ya kituo hicho kulishitaki jeshi la Polisi la Tanzania kwa Mahakama Kuu ya Kimataifa iliyopo nchini Uswisi, The Hague kutokana na mauaji mengi ambayo yamekuwa yakifanywa na Polisi dhidi ya raia lilikiwemo la mwandishi Daudi Mwangosi. Nadhani ingekuwa busara zaidi kama kiongozi huyo angeutangazia umma wa watanzania kuwa tayari wameshafikisha malalamiko hayo na sio kutangaza kuwa wana nia ya kushitaki.

Kauli aliyoitoa inafaraja na ni ya kupongezwa isipokuwa imeonekana ya kisiasa na si ya kisheria. Peleka kwanza hao wapuuzi THE HAGUE tusubiri utekelezaji. Kama kuna pesa inahitajika weka namba ya simu hadharani wananchi wachange. TUMECHOSHWA NA USHENZI WA SAID MWEMA.

CCM ndio huwa watangaza nia, si chombo makini kama LHRC.

mbona hata hajui the Hague ipo nchi gani? kweli alete tuone alicho andika!!
 
Huyo mama kasema, tunasubiri utekelezaji wa aliyoyasema vinginevyo kama hatutaona hatua hiyo ikitekelezwa, tuta conclude kwamba hawa nao ni wababaishaji na waganga njaa vilevile. Tusubiri tuone.
 
Unamshambulia mtu au unajibu hoja kwa Bi Helen alichokusudia kukufanya! naona unatoa povu tu kwa kuwa pengine umeshikwa nyuma siyo!! eeh nyuma huko kwenye mlima unaokalia...! Jibu hoja si kumshambulia mtu! mmeuwa watu wengi wewe na babako lakini naona hujui kuwa now is too much! babako alipokuwa anaanguka aanguka kwenye mikutano alikwenda kumwona she yahaya... siku hizi anaanguka tena??? so anachosema Bi helen ni kwamba mmezidi kuuwa ni lazima sasa hatua sichukuliwe ili mkome kuuwa raia ovyo!
Askari akifa akiwa anapambana na majambazi atetewe kwa nini wakati hiyo ni kazi yake we ovyo kabisa! Kabla mtu hajawa askari hupitia mafunzo maalumu ya kumjenga kifikra kuwa kazi aliyochagua kufanya ni ya kulinda na wakati mwingine kulinda kwa kupambana na katika mapambano kuna kufa so askari akatetewe na watu haki za binadamu kwa msingi upi! we ovyo kabisa hujui unachooandika"dead mind"
Mabaa,mabenk na mahotel yote ni yenu nyie mliotunyonya! ilo lipo wazi na jambazi hawi jambazi ipo sababu ya yeye kuwa jambazi! mfumo mbaya wa utawala wenu huku mkijilimbikizia mali unawafanya wengine wabuni njia ya kuilejesha mali yao mlioikwapua kwao eti kwa kuwa ninyi ni watawala! Hivyo bi Kijobi hana haja ya kuwatete ninyi wanyang'anyi! Ovyo kabisa mnyonyaji mkubwa wewe!



Hivi ndugu matusi yote haya unaniporomoshea kosa langu nini? Au kuonyesha uhodari wako wa kutukana hapa jamvini ndio hoja zako! Kama unategemea nikujibu matusi umepotea sana,mi si mtu wa hivyo,tafuta mtu anayefanana na wewe,mwenye culture kama yako,aliyelelewa kama wewe,na mwenye tabia kama zako hizi..."pengine umeshikwa nyuma siyo!! eeh nyuma huko kwenye mlima unaokalia".
 
Teh teh..tatizo ni shule ulizopitia au ni wewe mwenyewe? Kama ni wewe the issue ni ya wataalamu wa akili,ila kama ni shule naomba niambie ili wanangu wapitie hiyo njia.

Hatuendi shule ili kukariri na kurudiarudia hayo tuliyokariri forever....Hizo section zihitajizo watu wa namana hiyo wamekuwa replaced kwa Robots, ndio maana hakuna haja ya kukaririsha vitabu vya dini katika vichwa vya watu wakati kuna sehemu salama na hakika zaidi kama karatasi,komputa , na vinginezo..Suppose Mama Hellen hajui procedures ila katinga katika office mojawapo wa ICC au hata human right watch group moja,halafu akaambiwa umekosea ,wenzetu si wajinga kiasi cha kukataa kitu bila kutoa maelezo elekezi au mbadala.Lazima watampa procedures sahihi.Sijui utathibitisha vipi kuwa hatofikisha maishtaka....?
usihangaike sana kujisafisha kwamba unajua kumbe unafunika ukweli kwamba, HAUJUI KITU NA HUNA MAJIBU YOYOTE YALE DEUS F MALLYA. naomba usijibu kwasababu utajibu utumbo, hujui kitu...umehangaika vya kutosha i hope nimekuwa challenge kwako uende shule sasa...manake hadi umehangaika kubadili hadi ID zako, mara Deus mara Nicholaus....taabu tupu......so according to you, unataka bi HELLEN KIJO BISIMBA aende hadi icc, umesema ofisi yeyote ile ya icc, kwani kuna office ngapi aisee..hapo tu ndo unaonyesha kichwani hujui kitu. unataka aende akaelimishwe na watu wa uholanzi wakati anaweza kuelimishwa na walioko hapahapa tz? utumwa wa akili kuamini vya nje ndo bora ndo maana hujui kitu hata unachoongea. so according to you, kuweka vifungu vya sheria inayohusu, ni kukariri....hahaha, hopless boy, akili za aina hii ni sawa na za hayawani anayeishi kwa kudandia tu hajui chochote kinachoendelea hapa duniani. kwa kifupi, mtu yeyote anayejua sheria lazima akiongea aweke na kifungu au case law...uelewe hilo tangu leo. kwa kifupi kuojadili na wewe suala hili ni kupoteza muda.....pole yao wale wanaokuamini kwamba unaweza kuwa mbunge wao, wakati kichwani ni empty.
 
mbona hata hajui the Hague ipo nchi gani? kweli alete tuone alicho andika!!
Yaani huyo mama anahitaji msaada....mkurugenzi mzima wa kituo cha haki za binadamu tz anasema anataka aende icc akafungue mashitaka?...hahaha, ni ***** na hiyo ndo picha halisi ya wasomi walio wengi hapa tz...nilishasema hapo kwenye kakituo ka Lugakingira J, hakuna wanaojua sheria za aina hii, weupe kabisaaa, tena wanahitaji msaada. suala hili pale kwa AG ndo kuna wataalamu tena wa kutosha. ni ajabu kuona huyo mama anafikiri ataenda uswiss....inawezekana vitabu alivyovisoma vinaeleza kwamba the hague ipo uswiss. pia vitabu vyoote alivyosoma vinaeleza kuwa, yeye personally na sio prosecutor, anaweza kupanda ndege hadi the hague, akaingia pale na kufungua mashitaka. hajui hata ni nani anaweza ku refer the matter to the icc for investigation (only the state party, the security council and the prosecutor proprio motu). only through this channel the issue can be determined by the icc. sasa yeye sijui ataingilia wapi.....angesema atawashitaki kwenye NGOs za kimataifa ili walaani halafu hawa niliowataja wasikie, hapo ningeona labda shule yake aliyosomea uzeeni ilieleweka...sasa mkurugenzi mzima anaongea kitu ambacho hakipo, wale wafanyakazi wake watasemaje sasa? sungusia je?
 
usihangaike sana kujisafisha kwamba unajua kumbe unafunika ukweli kwamba, HAUJUI KITU NA HUNA MAJIBU YOYOTE YALE DEUS F MALLYA. naomba usijibu kwasababu utajibu utumbo, hujui kitu...umehangaika vya kutosha i hope nimekuwa challenge kwako uende shule sasa...manake hadi umehangaika kubadili hadi ID zako, mara Deus mara Nicholaus....taabu tupu......so according to you, unataka bi HELLEN KIJO BISIMBA aende hadi icc, umesema ofisi yeyote ile ya icc, kwani kuna office ngapi aisee..hapo tu ndo unaonyesha kichwani hujui kitu. unataka aende akaelimishwe na watu wa uholanzi wakati anaweza kuelimishwa na walioko hapahapa tz? utumwa wa akili kuamini vya nje ndo bora ndo maana hujui kitu hata unachoongea. so according to you, kuweka vifungu vya sheria inayohusu, ni kukariri....hahaha, hopless boy, akili za aina hii ni sawa na za hayawani anayeishi kwa kudandia tu hajui chochote kinachoendelea hapa duniani. kwa kifupi, mtu yeyote anayejua sheria lazima akiongea aweke na kifungu au case law...uelewe hilo tangu leo. kwa kifupi kuojadili na wewe suala hili ni kupoteza muda.....pole yao wale wanaokuamini kwamba unaweza kuwa mbunge wao, wakati kichwani ni empty.
umekosea big time.Huyo Deus ni wewe tu upo obsessed naye hata ungemkuta mahali ana kunywa bado ungemshambulia.Pia ni tatizo la kuwa mbumbu aliyekwenda shule.Ni vigumu kuelimika

Unaomba nisijibu.! kwanini usiamrishe nisijibu kama kweli ulikuwa unajua ulichosema ni sahihi?kwa vile hujajibu kwa usahihi basi huna moral authority,instead unaomba huruma hapa.Ujinga uliouliza ni kama mtu anayeuliza Uwepo wa office ngapi za ICTR akiwa na mtazamo kuwa ilianzishwa Arusha,ipo na ina jina arusha?Bila kujua pia ipo rwanda ikifanya kazi na mahakama za jadi kule.nawe pia hujui kuwa ICC inafanya na mahakama nyingine za kikanda duniani kote kwa ukaribu sana.

Sipendi endelea kubana kwa ulichokimbilia rudia ubishi wako wa mtu binafsi kuweza fungua mashitaka(ukafanya marekebisho kuwa si jaji procecutor-ila ulithibitisha kuw ani possible).Ninachokiona hapa tatizo si ICC wala mama hellen.Ila ni ile mentality ya "failures" iliyokukaa.Yule mama ana big time "winning spirit".ndio maana unapoteza sana muda kuangalia jinsi utakavyoshindwa na si jnsi utakavyoshinda.Jumuia ya kimataifa hiawezi kuwa ujinga kiasi hicho,watengeneze mfumo ambao ni mgumu kihivyo kuingia halafu wategemee kuwa na ufanisi.Kwa vile bado upo katika akili ya failures si rahisi kuona kwanini mama alihitaji "lobbying" ili kumfikia huyo procecutoe.Kwa vile hujui kwanini Baclays waliinunulia NBC South Africa TBL waliinunulia KIBO Breweries kenya na si moshi, ni ngumu kuelekea msomi mbumbumbu.

Vifungu vy sheria vya nini kwani kesi imeanza sikilizwa?Wewe nani kakuamba hivyo?Kuna preliminary procedures zinazoguide kesi kukubalika , kufunguliwa na kuangalia kama mtuhumiwa ana kesi ya kujibu,kabla mchakato wa kusikiliza kuanza.Nadhani hapo ndipo kichwa yako ya masifa inakufanya unadharau common sense.watu wamekupa quotes hapo juu kwanini wanaamini inaweza pelekwa.Makelele yako ya nini sas si usubiri mahakama ikaate?mbona hata kesi za kibongo tuu kuna nyingi mahakama inazitupili mbali na nyingine inazisikiliza?Wote hao walipewa vikwazo kibao na watu loosers kama wewe.Kwa kifupi huna tofauti na mlinzi wa geti anayeleta mbwembwe kwa watu wajao kutafuta ajira, wasiopenda shida hupiga simu ndani au kuingia na mtu mwenye uhuru wa kupita getini.
 
umekosea big time.Huyo Deus ni wewe tu upo obsessed naye hata ungemkuta mahali ana kunywa bado ungemshambulia.Pia ni tatizo la kuwa mbumbu aliyekwenda shule.Ni vigumu kuelimika

Unaomba nisijibu.! kwanini usiamrishe nisijibu kama kweli ulikuwa unajua ulichosema ni sahihi?kwa vile hujajibu kwa usahihi basi huna moral authority,instead unaomba huruma hapa.Ujinga uliouliza ni kama mtu anayeuliza Uwepo wa office ngapi za ICTR akiwa na mtazamo kuwa ilianzishwa Arusha,ipo na ina jina arusha?Bila kujua pia ipo rwanda ikifanya kazi na mahakama za jadi kule.nawe pia hujui kuwa ICC inafanya na mahakama nyingine za kikanda duniani kote kwa ukaribu sana.

Sipendi endelea kubana kwa ulichokimbilia rudia ubishi wako wa mtu binafsi kuweza fungua mashitaka(ukafanya marekebisho kuwa si jaji procecutor-ila ulithibitisha kuw ani possible).Ninachokiona hapa tatizo si ICC wala mama hellen.Ila ni ile mentality ya "failures" iliyokukaa.Yule mama ana big time "winning spirit".ndio maana unapoteza sana muda kuangalia jinsi utakavyoshindwa na si jnsi utakavyoshinda.Jumuia ya kimataifa hiawezi kuwa ujinga kiasi hicho,watengeneze mfumo ambao ni mgumu kihivyo kuingia halafu wategemee kuwa na ufanisi.Kwa vile bado upo katika akili ya failures si rahisi kuona kwanini mama alihitaji "lobbying" ili kumfikia huyo procecutoe.Kwa vile hujui kwanini Baclays waliinunulia NBC South Africa TBL waliinunulia KIBO Breweries kenya na si moshi, ni ngumu kuelekea msomi mbumbumbu.

Vifungu vy sheria vya nini kwani kesi imeanza sikilizwa?Wewe nani kakuamba hivyo?Kuna preliminary procedures zinazoguide kesi kukubalika , kufunguliwa na kuangalia kama mtuhumiwa ana kesi ya kujibu,kabla mchakato wa kusikiliza kuanza.Nadhani hapo ndipo kichwa yako ya masifa inakufanya unadharau common sense.watu wamekupa quotes hapo juu kwanini wanaamini inaweza pelekwa.Makelele yako ya nini sas si usubiri mahakama ikaate?mbona hata kesi za kibongo tuu kuna nyingi mahakama inazitupili mbali na nyingine inazisikiliza?Wote hao walipewa vikwazo kibao na watu loosers kama wewe.Kwa kifupi huna tofauti na mlinzi wa geti anayeleta mbwembwe kwa watu wajao kutafuta ajira, wasiopenda shida hupiga simu ndani au kuingia na mtu mwenye uhuru wa kupita getini.
Nicholaus, wewe ni mmoja wapo wa watu wenye akili ndogo sana na wagumu sana kuelewa. angalia kote nilikobold halafu ujijibu mwenyewe. nitakuelewesha polepole, kwasababu kwa maandishi uliyoandika hapo, umejifunga mwenyewe na umejianika kuwa wewe hujui kitu kabisa. Mr. DEUS F MALLYA, whether its you au ni mtu mwingine.

umesema ICTR au ICC ina branch?....hahaha. kwa kifupi ni kwamba, nikikujibu kwa hiyo ya ICTR, hii haina branch ndugu yangu, na imeundwa kwa sheria mahsusi kabisa na sheriah iyo ndiyo inayoendesha mahakama hiyo. hata zile facilities za pale AICC arusha zilikuja kuboreshwa hadi kufikia kiwango cha kimataifa hivyo hata rumande ya pale ina kiwango cha kimataifa sawasawa na ile rumande iliyopo the hague...HIVYO USICHANGANYE KABISA ICTR NA GACACA. GACACA haitumii ICTR statute, na huwezi kuitaja ICTR (International Criminal Tribunal for Rwanda) bila kuitaja Statute of the International Tribunal for RWanda....kwa maana hiyo, huwezi kuiweka Gacaca zile za Rwanda pamoja na ICTR kwasababu kwanza ile ya Rwanda ni traditional na haitambuliki kama part of ICTR. hivyo ile sio branch ya ICTR iliundwa tu kama part of truth and reconciliation pamoja na ku accelerate usikilizwaji kwasababu walijikuta wana malaki ya washitakiwa, na ICTR Arusha pale haiwezi kuwasikiliza hao wote, ili kuziba ufa huo, only senior officials walilengwa, wale viongozi wa mauaji au wale walio fanya incitement yeyote...kumbuka kezi za kina Bikindi na kina akayesu, MUGESERA yule aliyekuwa canada amerudi na ataenda kwenye local court ya rwanda, kwasababu ictr iko kwenye maandalizi ya kufungwa, 2014 inatakiwa kuwa imefungwa, hivyo hawawezi kufungua kesi tena pale, na si kwamba inawekwa branch rwanda, noooo....elewa hiyo kuanzia leo. PILI, naomba unitajie branch yeyote ya ICC hapa duniani kama unaijua. kama hujui kaa kimya.

ICC wala ad hoc zake hazina branch yeyote duniani, ipo tu pale the hague, ila inaweza kuhama na kuelekea kwenye venue yeyote ile duniani kama itakubaliana na nchi husika inayotaka kuhamishiwa...mfano, ICTR ikikamilisha shughuli zake zilizobaki 2014, tunaweza kutoa mapendekezo sisi watz kuwa venue iliyokuwa inatumika kwa ICTR tunakaribisha itumike kwa ICC..na itakuja....zaidi ya hapo, ICC haina branch yeyote duniani wala ad hoc zake( wala ICTR wala ICTY).

kuhusu mtu binafsi kufungua kesi ICC, unachotakiwa kujua ni kwamba, only three agents can refer the matter to the ICC. nao ni state party (nchi iliyotia sahihi), security council of the UN na prosecutor mwenyewe priprio motu. hakuna mtu mwingine zaidi ya hao niliowataja anayeruhusiwa na sheria ya icc kupeleka shauri pale...that means kwaajili ya uchunguzi/upelelezi kuanza ili kama prosecutor ataona kuna mazingira ya kesi ya msingi (baada ya kuletwa pale na hao niliowataja sio mtu binafsi), ataanzisha upelelezi na upelelezi ukikamilika, ndio suala litafunguliwa icc..ili lipelekwe pre-trial chamber kwaajili ya determination ya admissibility yake icc whether admissible or not kulingana na vigezo. hivyo, individual person hana nafasi ya kwenda pale...hakuna ubishi hapo. kitu pekee ambacho bi helen angesema ni kwamba, atafanya advocacy hadi state party, security council au prosecutor awasikie (lakini bila kwenda icc kufungua kesi, akiwa popote pale away from the icc)....labda angefanya hivyo, angesikiwa na jumuiya ya kimataifa, hivyo state parties wange refer the matter there kwasababu wanakubalika kisheria, security council ingekaa kikao cha dharura kuangalia kama jambo hili lipelekwe icc au prosecutor mwenyewe angesikia na kuamua kuanzisha uchunguzi. hapo angekuwa sahihi, sasa amekosea sana kusema atawafungulia kesi the hague, kauli kama hiyo si ya kisheria za icc kabisa na inatia aibu. BY THE WAY, SIJASEMA INAWEZEKANA HATA MARA MOJA kwa individual person kufungua shauri icc, unatunga tu hapa.


kwa kifupi ni kwamba, hata jambo hili lingesikiwa na hao agents walioruhusiwa ku refer the matter to the icc (hao watatu tu na sio individual persons), kwa kawaida ushunguzi wa kesi hii ungeanza, halafu kama kutakuwa kumeonekana kama kuna kesi ya msingi/makosa yameonekana yametendeka, basi prosecutor anafungua shauri mahakamani na suala litapelekwa pre-trial chambers kwa majaji waangalie kulingana na statute of icc kama kesi hiyo itakuwa admissible, kama admissible wataendelea na usikilizwaji, kama sio basi wanaachiwa huru (ni sawa tu na uendeshaji wa hapa kwetu tz, kesi inaanza kwa upelelezi, upelelezi ukikamilika kuna kitu kinaitwa PH yaani preliminary hearing ambayo inatakiwa kusomwa kwa hakimu/judge na mshitakiwa halafu hapo ndo usikilizwaji unaanza kwa kuita mashahidi)....PIA JUA KUWA, HAKUNA JAJI YEYOTE ANAYEWEZA KU INITIATE MATTER ICC. hakuna kitu kama hicho. ni ajabu kwamba, unaongea kwa ujasiri kumbe haujui kitu...hivyo wasomaji hapa ndio watajaji.

pia jua kuwa, tulichokuwa tunasema hapa, kulingana na vigezo vya icc statute, hata kama kesi hii ingekuwa initiated by any of the three agents, ikaanza uchunguzi,...isingekuwa admissible, ingepigwa chini na pre-trial proceeding,..kwasababu vigezo vilivyoweka na statute mauaji ya mwangosi havijafikia....ushauri ni kwamba, mwambie bi simba aende tu halafu tuone ataenda wapi na akifika huko basi ataeleweshwa kwasababu tukimwelewesha sisi hawezi kuelewa.....
 
well ngoja nireduce hizo junks zako to this size
ICC wala ad hoc zake hazina branch yeyote duniani, ipo tu pale the hague, ila inaweza kuhama na kuelekea kwenye venue yeyote ile duniani kama itakubaliana na nchi husika inayotaka kuhamishiwa...mfano, ICTR ikikamilisha shughuli zake zilizobaki 2014, tunaweza kutoa mapendekezo sisi watz kuwa venue iliyokuwa inatumika kwa ICTR tunakaribisha itumike kwa ICC..na itakuja....zaidi ya hapo, ICC haina branch yeyote duniani wala ad hoc zake( wala ICTR wala ICTY).
Umetaja venue- sidhani kama kichwa yakoinajua kuwa venue ni completely fuctioning office.na si kama kukodisha ukumbi kwa harusi.
kuhusu mtu binafsi kufungua kesi ICC, unachotakiwa kujua ni kwamba, only three agents can refer the matter to the ICC. nao ni state party (nchi iliyotia sahihi), security council of the UN na prosecutor mwenyewe priprio motu.
....
Kwa masifa yako hujaona kuwa nimepoint out "prosecutor" kama individual ila anaweza fanya kama ilivyo urais unavyokuwa taasisi.Na kumfikia Rais kuna njia nyingi kunaweza kuwa ni kufikia office nakupokelewa na mtu mwingine, kumvaa rais moja kwa moja kama una uzito kihivyo,etc.

Kitu ambacho hukujua kwa vile una msifa na unapenda sana kwenda offtopic ktk mazingira ya kawaida tu kabla hujaweza off topic examples.Ni kuwa ulikuwa unakataa kuwa individuala hana nafasi.Lakini kuna Individual wa aina mbili hapa wanaoweza fanikisha zoezi. "prosecutor" na "reporter".Hapo ndipo mimi na wengine tumeon apossibilities, ila wewe unaona impossibilities naona umeamua beba evidences against yourself.
 
well ngoja nireduce hizo junks zako to this size

Umetaja venue- sidhani kama kichwa yakoinajua kuwa venue ni completely fuctioning office.na si kama kukodisha ukumbi kwa harusi.

Kwa masifa yako hujaona kuwa nimepoint out "prosecutor" kama individual ila anaweza fanya kama ilivyo urais unavyokuwa taasisi.Na kumfikia Rais kuna njia nyingi kunaweza kuwa ni kufikia office nakupokelewa na mtu mwingine, kumvaa rais moja kwa moja kama una uzito kihivyo,etc.

Kitu ambacho hukujua kwa vile una msifa na unapenda sana kwenda offtopic ktk mazingira ya kawaida tu kabla hujaweza off topic examples.Ni kuwa ulikuwa unakataa kuwa individuala hana nafasi.Lakini kuna Individual wa aina mbili hapa wanaoweza fanikisha zoezi. "prosecutor" na "reporter".Hapo ndipo mimi na wengine tumeon apossibilities, ila wewe unaona impossibilities naona umeamua beba evidences against yourself.
BRO, UKISIKIA NENO INDIVIDUAL kwenye ICC STATUTE, au katika mazingira yeyote tutakayoongelea hapa, ujue ni individual person excluding prosecutor wa pale icc. that is what we mean, kwahiyo, usiseme kwa ulichokuwa unamaanisha toka awali ni kuwa individual prosecutor...ulikuwa unamaanisha individual person yaani hawa ordinary persons ambao hawajatajwa na icc statute kama kina HELLEN KIJO BISIMBA. kwa kifupi ni kwamba watu binafsi huku uraiani hawawezi kufanya kitu kama icho...hata ukisema uhangaike kujisafishe useme kuwa ulikuwa unamaanisha prosecutor ulipokuwa unasema individual....prosecutor wa icc hangepokea na kuanza kufanya uchunguzi suala hili kwasababu liko chini ya kiwango cha icc. usiongelee kabisa vitu ambavyo havipo, kwamba reporter anaweza kurefer the matter icc, kwa kutumia channel yeyote ile.....watu wanaoweza kurefer matter icc niliowataja ndio sheria inaowaorodhesha, huyo reporter unayemweka wewe, hakuna mtu yeyote duniani anayefikiria kitu kama icho kama kipo wala sheria haitambui. acha kuleta uswahili kwenye mambo ya sheria, unasema unaweza kwenda ofisini kwa prosecutor....kule icc, mtu wa aina gani anayeweza kulipokea suala hili na kuanza uchunguzi kama kweli yeye amesoma sheria? unafikiri pale wapo vihiyo kama wale wa legal and human rights centre?.......tulichokuwa tunabishana tangu mwanzo ni kwamba, suala hili halifai kupelekwa kule icc, ni la hapahapa tz, na hata hivyo, mwaka mmoja haujapita, usijefikiri icc huwa inaingia tu timu bila vigezo fulani, hata kuja kuchunguza nako kuna vigezo vya waje au la...kulingana na icc statute. UMEJIDHALILISHA SANA KUSEMA KUWA REPORTER ANAWEZA KUREFER MATTER TO THE ICC, tatizo hapa mimi naongea sheria, wewe unaongea siasa...sasa hatutafikia muafaka....
 
pia kuhusu venue, jua the hague sio permanent venue ya ICC. nenda kwenye preamble ya statute of ICC utaelewa vizuri.
 
Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Bi Hellen Kijo Bisimba ametangaza nia ya kituo hicho kulishitaki jeshi la Polisi la Tanzania kwa Mahakama Kuu ya Kimataifa iliyopo nchini Uswisi, The Hague kutokana na mauaji mengi ambayo yamekuwa yakifanywa na Polisi dhidi ya raia lilikiwemo la mwandishi Daudi Mwangosi. Nadhani ingekuwa busara zaidi kama kiongozi huyo angeutangazia umma wa watanzania kuwa tayari wameshafikisha malalamiko hayo na sio kutangaza kuwa wana nia ya kushitaki.

Kauli aliyoitoa inafaraja na ni ya kupongezwa isipokuwa imeonekana ya kisiasa na si ya kisheria. Peleka kwanza hao wapuuzi THE HAGUE tusubiri utekelezaji. Kama kuna pesa inahitajika weka namba ya simu hadharani wananchi wachange. TUMECHOSHWA NA USHENZI WA SAID MWEMA.

CCM ndio huwa watangaza nia, si chombo makini kama LHRC.

Hebu support hapa basi, tuache maneno matupu.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/323432-zinahitajika-saini-99-970-zaidi-kuijurisha-dunia-mauaji-tanzania.html
 
BRO, UKISIKIA NENO INDIVIDUAL kwenye ICC STATUTE, au katika mazingira yeyote tutakayoongelea hapa, ujue ni individual person excluding prosecutor wa pale icc. that is what we mean, kwahiyo, usiseme kwa ulichokuwa unamaanisha toka awali ni kuwa individual prosecutor...ulikuwa unamaanisha individual person yaani hawa ordinary persons ambao hawajatajwa na icc statute kama kina HELLEN KIJO BISIMBA. kwa kifupi ni kwamba watu binafsi huku uraiani hawawezi kufanya kitu kama icho...hata ukisema uhangaike kujisafishe useme kuwa ulikuwa unamaanisha prosecutor ulipokuwa unasema individual....prosecutor wa icc hangepokea na kuanza kufanya uchunguzi suala hili kwasababu liko chini ya kiwango cha icc. usiongelee kabisa vitu ambavyo havipo, kwamba reporter anaweza kurefer the matter icc, kwa kutumia channel yeyote ile.....watu wanaoweza kurefer matter icc niliowataja ndio sheria inaowaorodhesha, huyo reporter unayemweka wewe, hakuna mtu yeyote duniani anayefikiria kitu kama icho kama kipo wala sheria haitambui. acha kuleta uswahili kwenye mambo ya sheria, unasema unaweza kwenda ofisini kwa prosecutor....kule icc, mtu wa aina gani anayeweza kulipokea suala hili na kuanza uchunguzi kama kweli yeye amesoma sheria? unafikiri pale wapo vihiyo kama wale wa legal and human rights centre?.......tulichokuwa tunabishana tangu mwanzo ni kwamba, suala hili halifai kupelekwa kule icc, ni la hapahapa tz, na hata hivyo, mwaka mmoja haujapita, usijefikiri icc huwa inaingia tu timu bila vigezo fulani, hata kuja kuchunguza nako kuna vigezo vya waje au la...kulingana na icc statute. UMEJIDHALILISHA SANA KUSEMA KUWA REPORTER ANAWEZA KUREFER MATTER TO THE ICC, tatizo hapa mimi naongea sheria, wewe unaongea siasa...sasa hatutafikia muafaka....

Sasa umeongea nini?mimi nimesema "prosecuter" as ana individual or as taasisi (office yake), reporter hapa nimeweka nafasi ya mama heleni na office yake.Na nimeweka ktk mfumo huo ili kupunguza wewe kuanza mwaga uchafu wako hapa,mwingi ukidhani unamkomoa Deus.Deus kakuosea nini ?Kakupiga bao wapi?Ni mambo ya hapa hapa JF tuu kweli?

Siji hujaelewa nini hapa? Ubishi ulikuwa nani anaweza peleka shitaka kule.Nikakupa mfano wa suala la kenya na ocampo kukuonyesha route nyingine bahati nzuri ukamwaga definition zako mzee wa kukariri tukaweza record sawa.(judge /procecutor) fine ila haikuondoa kuwa individual anaweza fungua shitaka.Mimi nikasema kuwa mama Hellen route hiyo anaweza ifuata.Ila nahitaji pata attention yake.Hiyo attention anaweza itafuta kwa kufanya lobbying au hata kutumia "lobbyst maarufu duniani".Ukapinga kwa nguvu nyingi kama una testestorone nyingi sana.Sasa HIVI kwa vile umegandisha akili unaongea kwa fahari kuwa lipo chini ya viwango.Ila unasahau kuwa wewe si mpima viwango wa ICC wal si prosecutor na huna tofauti na wasira alipokuwa akisema CDM itafutwa.Na huyu anajua ili lisiwe dogo anahitaji lobbyists.

wewe kuwaita vihiyo siwezi ona tofauti yake na obsession uliyo nayo juu ya Deus.Ni wewe tuu kuthibisha kuwa huna kijiba.

Halafu usidhani kumeza sana mistari ni kujua,kwani hata computers memories zina vitu vingi sana ila computer haiwezi replace human brain.usidhani kupitia shule ya sheria kuna kufanya kuwa mwanasheria bora sana kam umelaza ubongo.kwa taarifa yako hata engineer na busines people sheria waliyosoma inawatosha sana kusoma sheria yoyote na kuilewa.Ikibidi wanaweza hata kuwa makini kuliko wanasheria kamili wakitofautian tuu kuwa na leseni.
 
ubungoubungo labda nikufungue akili ili uone tofauti ya "memory capacity" na "analytical capabilities".Kama una memory halafu hutaki tumia processing power of the brain huwezi kuw analytical.Ni real life experience na watu waliokuwa na uwezo wa kukariri kila kitu katika kitabu +mawasli ya miaka ya nyuma ila hawakuwa wakifauli mitiani mipya au maswali mapya.

Katika discussions hatukuwa tukipta shida ya kufungua vitabu vingi kama tunataka solve swali,tulikuwa tukimuuliza tuu formula fulani anamwaga nasi tunaangaalia kama tunaweza apply katika hesabu zetu.Tukimaliz ana kupata jibu jamaa huyacopy tayari kwend akukariri.

So ningekuwa kazribu na wee ninge enjoy san.kwani ningeweza recall sheria nyingi halafu nizitumie.Hizo ndizo tofauti ambazo mama Hellen na wewe mnazo.Wewe ni kama ka flash na yeye full computer.Inaelekea walikupiga chini kwa hilo ndio maana unakuwa mbogo kwao.Wewe bado unajiamini kuwa kwa kumeza mavitu basi wewe unayo akili.Hata watoto wa madrass wameshika kitabu chao kwa kiwangi kikubwa ila bado hawajaweza replace Shehe,hata shehe aliyeanza sahau baadhi ya mistari ana mengi ya kuwafunidisha watoto kuhusu hiyo mistari waliyoweka kichwani.
 
Sasa umeongea nini?mimi nimesema "prosecuter" as ana individual or as taasisi (office yake), reporter hapa nimeweka nafasi ya mama heleni na office yake.Na nimeweka ktk mfumo huo ili kupunguza wewe kuanza mwaga uchafu wako hapa,mwingi ukidhani unamkomoa Deus.Deus kakuosea nini ?Kakupiga bao wapi?Ni mambo ya hapa hapa JF tuu kweli?

Siji hujaelewa nini hapa? Ubishi ulikuwa nani anaweza peleka shitaka kule.Nikakupa mfano wa suala la kenya na ocampo kukuonyesha route nyingine bahati nzuri ukamwaga definition zako mzee wa kukariri tukaweza record sawa.(judge /procecutor) fine ila haikuondoa kuwa individual anaweza fungua shitaka.Mimi nikasema kuwa mama Hellen route hiyo anaweza ifuata.Ila nahitaji pata attention yake.Hiyo attention anaweza itafuta kwa kufanya lobbying au hata kutumia "lobbyst maarufu duniani".Ukapinga kwa nguvu nyingi kama una testestorone nyingi sana.Sasa HIVI kwa vile umegandisha akili unaongea kwa fahari kuwa lipo chini ya viwango.Ila unasahau kuwa wewe si mpima viwango wa ICC wal si prosecutor na huna tofauti na wasira alipokuwa akisema CDM itafutwa.Na huyu anajua ili lisiwe dogo anahitaji lobbyists.

wewe kuwaita vihiyo siwezi ona tofauti yake na obsession uliyo nayo juu ya Deus.Ni wewe tuu kuthibisha kuwa huna kijiba.

Halafu usidhani kumeza sana mistari ni kujua,kwani hata computers memories zina vitu vingi sana ila computer haiwezi replace human brain.usidhani kupitia shule ya sheria kuna kufanya kuwa mwanasheria bora sana kam umelaza ubongo.kwa taarifa yako hata engineer na busines people sheria waliyosoma inawatosha sana kusoma sheria yoyote na kuilewa.Ikibidi wanaweza hata kuwa makini kuliko wanasheria kamili wakitofautian tuu kuwa na leseni.
ubishi wetu hapa ulikuwa kama ifuatavyo:

  1. nani hasa kisheria ya icc anaweza kupeleka shauri ICC
  2. je? Bi hellen kijo bisimba kama ordinary individual person au hata kama anawakilisha NGO anaweza kufungua shauri ICC?
  3. ni sahihi kwa bisimba kusema kuwa atawashitaki mapolisi ICC?
kwa kifupi, hayo ndiyo maswali yaliyokuwa yakibishaniwa. usilete longolongo zingine zozote zile.

PIA, ANGALIA KWENYE POST ZANGU ZOOOTE, hakuna hata sehemu mojan imesema JUDGE anaweza kufungua shauri ICC. kama ipo, onyesha.

VILEVILE, MIMI SIO KWAMBA NAKARIRI, NI EXPERT na kwa taarifa yako huko the hague nimeshafanya kazi palepale.

pia, ukileta suala la kenya, angalia lilichukua muda gani kwa ocampo kuingilia, zaidi ya mwaka mmoja, yaani waliiachia kenya yenyewe kuwachukulia hatua washitakiwa (kama ambaavyo muuaji kule iringa amefikishwa court), walipoona kenya hawako willing, ndio ocampo akaruhusiwa na sheria akaanza kuchunguza kulingana na article 17 ya statute yake,..je? hapa tz kuna situation kama ya kenya ya unwillingness kupeleka perpetrator mbele ya haki hata icc watie mguu? unaijua principle of complementarity wewe? unajua reasonable time ambayo icc wanachukua hadi kuamua sasa wao waingilie kati? unafikiri kila kukitokea murder tu basi icc inaingilia kwa kukurupuka kama wewe?


kusema kuwa mimi si mpima viwango, ila viwango vinapimwa na prosecutor, hapo umepotoka. sheria ndiyo inapima kiwango, ndiyo inayosema wazi nani anaweza kupelekwa pale, makosa ya aina gani yanaweza kwenda pale, hivyo hatuhitaji prosecutor atufafanulie viwango, tukiangalia tu sheria na mwenendo wa icc tunajua kosa hili laweza pokelwa au la, sheria ndio inaonyesha hivyo, na tunapoongea hapa tunaongelea sheria inasemaje. sio sisi binafsi.

kuhusu kumeza mistari ya vifungu vya sheria,....sina la kukujibu kwasababu hujui unachoongea. icc statute ni ndogo sana, na iko kichwani kwa kuelewa na kwa kuijua kiundani. kwa kifupi wanasheria wooote ndio wako hivyo, wanaikariri mistari ya sheria halafu wanaielewa vilevile.

kusema kuwa businessmen au engineers kwa sheria ile waliyoisoma wanatosha kuelewa jambo hili, umepotoka asilimia mia moja. kwa kifupi ni kwamba, wengi tulisoma sheria udsm kama general, yaani kuwa na LLB degree ya sheria kama kawaida, lakini bila kufanya specification kwenye sheria ya jinai ya kimataifa, hata wale waliosoma degree ya sheria hawajui vizuri suala la international criminal court, only those experts....hivyo kama ulisoma vi contract law vyako kwenye engineering au business class yeyote ile, au kasheria kokote, hujui sheria ndio maana huwezi kuitwa mwanasheria. kama mtu aliyesoma sheria miaka minne hawezi ijua vizuri icc hadi akae chini asome na afundishwe, itakuwa wewe ambaye si mwanasheria? sheria sio chekechea tafadhali, ina heshima yake. ndio maana mgumu kuelewa.you are not an expert.

ambacho unatakiwa kuelewa kuanzia leo ni hivi;

  1. kosa la mauaji ya mwangosi, kulingana na viwango vya icc haliwezi kupokelewa pale, hiyo ni ordinary murder inayotakiwa kuendeshwa na local courts. viwango hivi vinatafsiriwa na icc statute yenyewe, na si prosecutor.
  2. individual persons hawawezi kufungua shitaka icc, ila wanaoweza ni hawa tu na si mwingine,....STATE PARTY/SIGNATORY TO THE ROME STATUTE, security council na prosecutor mwenyewe personally as an individual na si taasisi na hajadelegate power yake kwa mtu yeyote.
  3. bi hellen kijo bisimba hawezi yeye binafsi au hata akienda kwa umbrella ya NGO, kufungua shitaka icc, kama aliongea hivyo ina maana kuwa hajui au hakujua alichokuwa anaongea, na hajui kiundani icc inaendeshwaje.
  4. judge yeyote duniani hawezi kufungua shitaka icc.
  5. wewe mwenyewe huwezi kufungua shitaka icc
  6. hakuna reporter yeyote anayeweza kufungua shitaka au hata kurefer the matter to the icc.
ila ni kwamba, kama kuna tukio lolote baya, kuna wakati security council huwa wanaitisha kikao cha dharura, na wanaweza kukubaliana kurefer the matter to the prosecutor,...vilevile nchi yeyote as state party/signatory to the icc statute, wanaweza kwenda pale kwa prosecutor kuomba uchunguzi uanze...au prosecutor mwenyewe anaweza kuamua kuanza uchunguzi.

hata hivyo, kesi za aina hii ni only those serious offences of international concern, nazo ni zile kuanzia article 6 of the statute, ziko nne tu. kuna viwango kuweza kufikia makosa hayo manne (genocide, crimes against humanity, war crime and crime of aggression.), na katika makosa haya manne, ingredient zake hazilandani ya yale yaliyotokea kwa mwangosi, kama ungejua ingredients za makosa hayo ungeelewa...bahati mbaya hujui. hata hivyo, hata mwaka mmoja haujaisha ili dunia/prosecutor aone tz hatujachukua hatua yeyote ili yeye achukue hatua..na tayari hatua imeshachukuliwa.

kwa kifupi, wewe ni mbbumbumbu hujui sheria, hautakuja ujue sheria na ni mgumu sana kuelewa..na ni hasara sana kubishana nawewe.
 
Back
Top Bottom