Sure sababu kwa level hiyo anakuwa kashaandikwa sana mpaka kakinai so atapenda privacy na hata kukwepa kuandikwa!!!!
Sijui ni kama mzee Bakhresa mwenyewe maana ni kimyaaa kama hayupo na wengi hata kwa sura hawamfahamu!!!!!!!
Mimi Nina omega speedmastei skeleton watch nilinunua 3years ago..kwa Benson arusha
laki 2.
mpaka leoo hadi nimeichoka Mimi..nakuitaftia nyumba ndogo mbili(Casio na Seiko 5 ambazo baada ya 6months nachange battery
ndugu sijui Rolex mnazozionesha hapo ni Original from Switzerland au sijui wapi but kuna duka la saa liko ndani ya plaza moja hapa posta (yenye Le grand Casino) ndugu zangu Rolex ni dola 10000 hadi 16000 tena zinaletwa kwa order sikuamini nikashangaa hizi za laki mbili mtaani zinatoka wapi, kama ww kweli umepurchase genuine Rolex kwa hiyo bei nakupa heshima yako!!! personally ninayo Casio G shock na pia napenda Swatch (ambayo ntanunua karibuni) kama mwanafunzi anavyopenda wali arage!
Umenikosha sana mkuu,unaonekana ni mdau wa vidonda,hiyo ni addiction kwelikweli.nina collection mpaka watu wananishangaa,choices zangu
Michael kors
Guess
Timex
Seiko 5
hio saa yako ni FAKE....laki 2 hata FOSSIL YA MAANA HUPATI.
Omega Watches - From Watches of Switzerland
Underbelt punching!!!!!
ooops my bad...why would u brag u got a rolex while its a FAKE?
Saa na snickers ni vitu vilivokula pesa yangu Sana!! Hii hobby imeisha hadi najishangaa sijui Ndio kukua huku!!
una character za mwanangu mmoja huyo mkitoka naye those old days yaan anaweza kukupa ugomvi sio wako!!!!!!!!
Mtu anaweza akawa anasimulia a new movie episode yaani akikosea hata kama hamjui kivile lazima amrekebishe!!!!!!!
You gud son????!!!
im good bro....
Nauza Phantom a111 590000
Phantom f7 390000
M3 135000
Tecn 611 70000
TECNO 612 75000
TECNO 605 55000
T. 340 28000
Itel 2020 25000.
Itel 2050 26000
Itel 2060 25000
Nauza pia digital kamera Sony 6.5mp 160000
Ninazo Simu kwa jumla na rejareja kwa wenye biashara za Simu na wateja wengine tuwasiliane 0718796574 duka language lipo Korogwe tanga naweza kukutumia popote tz
Habari za Weekend Wakuu,
Embu leo tuambiane brand gani ya saa ya mkononi ambayo unaipendelea ukiangalia vitu kama quality, price na design.
Mimi nimetokea kupenda brands za saa za mkononi kama Michael Kors, Breitling, Hublot na Mont Blac
Embu tupieni na za kwenu wadau
Picha za hizi brands hizi hapa;
Michael Kors
View attachment 134632
Breitiling
View attachment 134634
Mont Blac
View attachment 134635
Hublot
View attachment 134636
Mkuu peleka hii kwingine
Seiko Five kaka ndo kila kitu
na wewe ume-quote li-thread zima ili tu useme"Seiko Five ndo kila kitu".....sawa tumekusikia