Dooh, mimi ninayo ya PC, 13GB.Guys....mwenye callofduty mw3 ya ps3....naihitaji
Dooh, mimi ninayo ya PC, 13GB.Guys....mwenye callofduty mw3 ya ps3....naihitaji
Most Wanted au?Nawezaje kupata Need for Speed
Ipi hiyo? Modern Warfare ama?Call of duty namba 4 dagh si mchezo
Mwakani nitarudi uwanja wa kucheza Games. Game ntakayoanza nayo ni Black Ops.Call of Duty hainaga Mpinzani ni Hatari
Sijamaliza bado muda ndio tatizo ila w/end naimalizaBado hujamaliza Mkuu?
Yes mkuuMost Wanted au?
Ukoo wapi mkuuuMkuu, huyu mzee anaitwa Reznov.
They want to kill us Dimitri, once again they failed, once more we cheat death 'Kama broken mnisamehe'
Huyu mzee alinikosha kwenye Mission flani hivi wenzenu wengi wamekufa kisha yeye anakuwa hai kisha anakwambia ssshhhhh!!!
Baada ya hapo mnaanza taratiibu kwenda kumuua yule kiongozi wa Kijerumani.
Kama sikosei ni Call of Duty 5.
KWA MTU YOYOTE ANAYEHITAJI CALL OF DUTY 5 ANIONE.
Karibu Mkuu, unataka ipi nyingine?Yes mkuu
Kigamboni, ila muda mwingi napatikana Akiba, Posta.
nikipata hiyo ntafurahi sana natumia HP PROBOOK 6460b : windows 7Karibu Mkuu, unataka ipi nyingine?
Sawa, mimi nipo Mkuu.nikipata hiyo ntafurahi sana natumia HP PROBOOK 6460b : windows 7
Mkuu uko sawa kabisa kuna sehem akaulizwa c mlikufa wote akajib I was among them bt not one of them katsha sana huyu kamanda sema silaha zake zakizaman sanaMkuu, huyu mzee anaitwa Reznov.
They want to kill us Dimitri, once again they failed, once more we cheat death 'Kama broken mnisamehe'
Huyu mzee alinikosha kwenye Mission flani hivi wenzenu wengi wamekufa kisha yeye anakuwa hai kisha anakwambia ssshhhhh!!!
Baada ya hapo mnaanza taratiibu kwenda kumuua yule kiongozi wa Kijerumani.
Kama sikosei ni Call of Duty 5.
KWA MTU YOYOTE ANAYEHITAJI CALL OF DUTY 5 ANIONE.
Mkuu masiara hayo CODMW4 kwa zuma hahaahaaaNimeshusha call of duty 4 modern warfare Kali sana muitaj nalitoa nauli yako tu afu ww uje na zuma
Mkuu, sijacheza Mission ngumu ktk COD zote kama Mission iliyopo ktk Call of Duty 5 World at War, ile Mission ambayo mpo ndani ya vifaru. Ni mapambano ya vifaru kwa vifaru, Mission ilinisumbua saana ile Mkuu.Mkuu uko sawa kabisa kuna sehem akaulizwa c mlikufa wote akajib I was among them bt not one of them katsha sana huyu kamanda sema silaha zake zakizaman sana
Sawasawa Mkuu, naona unatukata na akina Gazi, Captain Price n.k best wishez mkuu.Nimeshusha call of duty 4 modern warfare Kali sana muitaj nalitoa nauli yako tu afu ww uje na zuma
Nikipata PC nitakutafuta Mkuu.Dah wadau kuna bonge la Game linaitwa Resident Evil Revelations hili game ni funika yote Battlefield
Call of duty yaani hilo game liko kama unacheza kwa episodes mimi nimeishia ep 2 ep 3 inatoka mwaka huu
Ilo game nalikubali sana yani
Poa poaNikipata PC nitakutafuta Mkuu.