Bernard Membe enzi za ujana wake

Status
Not open for further replies.
Duh!Kwa jinsi alivyopaniki huyu bwana 100% Muhongo inabidi nipite kimyakimya tu.Naogopa mitusi yake.

Ubarikiwe kwa hayo maono yako Mkuu kwani na Wewe ungejijaza tu katika frame ningekuwasha kama kawaida ili tuheshimiane vizuri humu. Ama hakika una Mungu!
 
Muandika uzi nahisi kuna uzi ulikatika some where. Unapitisha mgombea uraisi kutokea bara na makamu kutokea bara pia. Hujui katiba inasemaje kuhusu rais na makamu wake? Lazima watoke pande zote za muungano
 
Kamuulize kwanza aliyekuzaa kuwa bado yupo na yule yule Basha wake wa Tandale Uzuri au ameshaachana nae na sasa karudisha majeshi yake yote kwa Mshua wako hapo Mwananyamala Kwenu?
hahahahaha unajifanya una intelejensia kali kumbe bogasi kama bashite tu, unakumbushwa ahadi yako maneno yanakuponyoka tu.

unajifanya kuchukua nafasi ya marehemu shekhe yahaya et raisi muhongo mara kinana boya sana ww
 
IQ za kijinga namna hiyo sijapata kuziona wenye IQ huonwa na watu hawajioni wenyewe, usitake kujionesha kuwa wewe ni mjuzi wa mambo mbeleni unaaibika kwa upumbavu na uropokaji wako usio na tija.

IQ za kijinga namna hiyo zipo huko kwenu sio hapa jamii forum penye watu wa kila aina, hii Nchi huijui hata sudusi acha kutikisa nyonga zako kwa kulisha watu uchafu wako wa ubongoni huo ili waamini kile unachosema.

Sasa huyo rais wako uliyekuwa unaapa na kurudia kuwa ni yeye yuko wapi au ulikuwa unaota? Ukikaa na watu acha kiherehere cha kuonekana kuwa mjuaji kwenye hakuna, hakuna lolote unajua hapa Nchini tofauti na bei ya sukari kaa unyamaze ufanye yako sio kujinadi hapa una IQ za kipumbavu na zisizo na maana yoyote.

Wenye IQ wakiwa kama wewe ni wazi kuwa tuna janga kubwa sana, unatunisha misuli kuwa umetoa habari jikoni jiko gani hilo? Wamekuona ni kilaza wanakugeuza kama chapati kwa kukupa utitiri wa madudu uje kubandika hapa bila kuwaza na kuchambua.

Huna IQ yeyote wenye IQ hujulikana kupitia watu sio wao wenyewe, Unatia sana Aibu.
 
hahaha naona hapa wapishi walikupa ukoko tena ulio unguaa[emoji23] [emoji23]
 
hahaha naona hapa wapishi walikupa ukoko tena ulio unguaa[emoji23] [emoji23]
Tatizo la hili dudu kila lipatalo huko kwenye vijiwe vya ugoro linaleta humu sasa hizo asilimia 100 za ukweli juu ya haya aliyoandika mbona hajaja kuyazungumzia.

Akiguswa anapanua domo kujibu watu utumbo uliopo kwenye nyonga zake, sitakubali mimi na nitapambana na upuuzi wake hadi siku akikaa sawa akili.
 
Ndugu Bernard Kamilius Membe (Waziri wa mambo ya nje ) hapa ni muda mchache kabla ya kujiunga na Usalama wa Taifa (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa (Natinal Security Analyst) akiwa na miaka 25.
Jamaa safi kabisa hiz kaz za wazalendo tu
 

Mojawapo ni majivuno yaliyopita kisasi.
 
Mojawapo ni majivuno yaliyopita kisasi.
Huyu alizidi alifika mahali alikuwa anajiona tayari kawa Rais mpaka uongeaji alikuwa anamuiga JK..Sasa alipopigwa kata funua naona hajazinduka mpaka leo..Nadhani yuko mtama anapumzika
 

Popoma ungekuwa mganga wa kienyeji ningekuja kudai pesa yangu.huu utabiri wako ni zero kabisa haukukaribia ukweli hata chembe.

dah!! we jamaa ulitulisha sana matango pori miaka ile,mungu anakuona aisee.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hali vipi ndugu? Naona upo kwenye ubora wako wa kutokupenda ujinga. Genntamycine hapendi mizaha
 
Hahahahahahahaha..... Siju sura yako utaichimbia wapi......
 
Hahahahahahahaha..... Siju sura yako utaichimbia wapi......

Hata siku nyingine unaweza ukawa umeenda haja kubwa katika shimo la choo na ukakosea na kuubwaga mzigo wowote pembeni wakati ulikuwa huna kawaida hiyo kwakuwa umebobea ki shabaha kwa muda mwingi kama siyo mrefu.
 
Ulichemka
 
Walikupiga mawe?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…