Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,978
- 5,417
Wafukuwa makaburi sio watu wazuri kabisaHuwa Sibishani Na Sijibizani Na MBWA WEWE Bali Nabishana Na Kujibizana Na Wenye MBWA Mabosi Wako Unaowatii Nchi Hii Na Najiamini.
Wafukuwa makaburi sio watu wazuri kabisaHuwa Sibishani Na Sijibizani Na MBWA WEWE Bali Nabishana Na Kujibizana Na Wenye MBWA Mabosi Wako Unaowatii Nchi Hii Na Najiamini.
Kama bado mawe hukupigwa nakutafuta maana nimeshanunua trip kadhaa hapaMuhongo Hawi Waziri Mkuu BALI Nakuhakikishia Kuwa Professor Sospeter Muhongo Ndiyo Rais MPYA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Hiyo Mtake Msitake Mchukie Na Mpende Na NIMESHAWEKA HAPO NADHIRI YANGU KWENU KUWA KAMA YASIPOTOKEA HAYO YOTE NILIYOYAELEZEA HAPO NITAJITOKEZA HADHARANI WATANZANIA WOTE MNIPIGE MAWE HADI NIFE!
Ndio maana nasema hauna maana kwa sababu kama hizi.
Unaposema pambana na hali yako, huyo unaemwambia amekuomba umsaidie kupambana na hali yake? Hii mdio tunaita illogical conclusion, cause and effect does not exist.
Ukisema tu pambana na hali yako unamwambia nani na kwa sababu gani?
Ukiona mwanaume unajinadi kuwa unaleta habari za jikoni hapa ujue anaweza kupewa hata Ndonga huko jikoni.
mkuu njoo tena utoe ufafanuzi wa ulichokiongeaHao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.
1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)
2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)
3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)
4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)
NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.
hawezi kuja hata ukimpa Tshs milioni mojaNdugu Bernard Kamilius Membe (Waziri wa mambo ya nje ) hapa ni muda mchache kabla ya kujiunga na Usalama wa Taifa (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa (Natinal Security Analyst) akiwa na miaka 25.
View attachment 238167
we jamaa muongo sanaHuwa Sibishani Na Sijibizani Na MBWA WEWE Bali Nabishana Na Kujibizana Na Wenye MBWA Mabosi Wako Unaowatii Nchi Hii Na Najiamini.
Sijui kama utakuwa hai.Kama Unadhani Natania Subiri Muda Ukifika Mkuu Na YASIPOTOKEA HAYO NILIYOYASEMA HAPO NAOMBA WATANZANIA WOTE MNIPIGE MAWE HADI NIFE! Access Yangu Ya KUPATA TAARIFA ZOTE NYETI Ni KUBWA MNO Na SANA NA NAPENDA NIKUAMBIE TU KUWA AMINI HICHO NILICHOKIANDIKA HAPO KWANI KIMETOKA JIKONI Na KULE KUNAKO Na KIPO 100% SURE Na HAPO MSHINDI Atakuwa Ni Professor Sospeter Muhongo Na Ndiyo Atakuwa Rais Wako MPYA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Mtake Msitake.
Kipindi cha uchaguzi wajuaji ni wengi sanaHao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.
1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)
2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)
3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)
4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)
NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.
Kuna mnyetishaji habar mmoja aliwahi kunambia kuwa huyu jamaa, kuna issues za kiespionage aliwahi kuzifanya huko canada mpaka akawa kwenye spy watchlist zao..!Kuna miaka kazaa nyuma..Uyu Benard membe nilisha wahi kumuona Canada akiwa ndo Dereva wa Balozi Enzi hizo..ilikuwa 2003. Una taarifana na ili..na je alikuwa na kaz maalum pale Canada? Make uzi wakonumefanya niamini uyu jamaa labda alikuwa ni usalama wa kujua abc za watz qanao ishi Canada au watu wa Canada walikuwa na plan gani na tz..Nilistukansana nilipokuta jamaa amekuwa wazir ..from Udereva...ilinipa shida kidogo...ila uzi wako umenipa....majibu fulani.
Hili povu sio la nchi hii mkuu hahaha punguza ujuajiHata Kipindi ambacho Mashoga huhitaji Kubokolewa na Mabasha zao hushoboka sana kama unavyoshoboka Wewe hivi sasa.
Wewe ni muongo wa kimataifaKama alichonacho Basha wako kwa Kukubokoa kila uchao.
Kwahiyo umekubali kwamba wewe ni muongo na unavyobold maandishi utafikiri unajua kitu vileHata Wewe ni mbokolewaji wa Kimataifa.
Makaburi yamefufua mengi dadadeki...Waziri mkuu bila kwenda jimboni??