Bernard Membe enzi za ujana wake

Bernard Membe enzi za ujana wake

Status
Not open for further replies.
Muhongo Hawi Waziri Mkuu BALI Nakuhakikishia Kuwa Professor Sospeter Muhongo Ndiyo Rais MPYA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Hiyo Mtake Msitake Mchukie Na Mpende Na NIMESHAWEKA HAPO NADHIRI YANGU KWENU KUWA KAMA YASIPOTOKEA HAYO YOTE NILIYOYAELEZEA HAPO NITAJITOKEZA HADHARANI WATANZANIA WOTE MNIPIGE MAWE HADI NIFE!
Kama bado mawe hukupigwa nakutafuta maana nimeshanunua trip kadhaa hapa
Ahadi ni deni
 
Ahahhahahahahhaha
Ndio maana nasema hauna maana kwa sababu kama hizi.

Unaposema pambana na hali yako, huyo unaemwambia amekuomba umsaidie kupambana na hali yake? Hii mdio tunaita illogical conclusion, cause and effect does not exist.

Ukisema tu pambana na hali yako unamwambia nani na kwa sababu gani?

Ukiona mwanaume unajinadi kuwa unaleta habari za jikoni hapa ujue anaweza kupewa hata Ndonga huko jikoni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.
mkuu njoo tena utoe ufafanuzi wa ulichokiongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Unadhani Natania Subiri Muda Ukifika Mkuu Na YASIPOTOKEA HAYO NILIYOYASEMA HAPO NAOMBA WATANZANIA WOTE MNIPIGE MAWE HADI NIFE! Access Yangu Ya KUPATA TAARIFA ZOTE NYETI Ni KUBWA MNO Na SANA NA NAPENDA NIKUAMBIE TU KUWA AMINI HICHO NILICHOKIANDIKA HAPO KWANI KIMETOKA JIKONI Na KULE KUNAKO Na KIPO 100% SURE Na HAPO MSHINDI Atakuwa Ni Professor Sospeter Muhongo Na Ndiyo Atakuwa Rais Wako MPYA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Mtake Msitake.
Sijui kama utakuwa hai.
Mkuu hiki ni kipaji
 
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.
Kipindi cha uchaguzi wajuaji ni wengi sana
 
Mods nyuzi za kizee mnaziachia hewani kizembe namuna hii,au mnalala huko lab?
Yan niachie nyuzi zangu very current mzifute afu mnaachia old school.
Mnakera na kijukwaa chenu

thA God thA bubbs!!
 
Kuna miaka kazaa nyuma..Uyu Benard membe nilisha wahi kumuona Canada akiwa ndo Dereva wa Balozi Enzi hizo..ilikuwa 2003. Una taarifana na ili..na je alikuwa na kaz maalum pale Canada? Make uzi wakonumefanya niamini uyu jamaa labda alikuwa ni usalama wa kujua abc za watz qanao ishi Canada au watu wa Canada walikuwa na plan gani na tz..Nilistukansana nilipokuta jamaa amekuwa wazir ..from Udereva...ilinipa shida kidogo...ila uzi wako umenipa....majibu fulani.
Kuna mnyetishaji habar mmoja aliwahi kunambia kuwa huyu jamaa, kuna issues za kiespionage aliwahi kuzifanya huko canada mpaka akawa kwenye spy watchlist zao..!

Salama yake alikimbilia marekani akajiunga na chuo kimoja wapo, alipomaliza ndo akarudi huku na kujiingiza kwenye siasa..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom