Bernard Membe enzi za ujana wake

Bernard Membe enzi za ujana wake

Status
Not open for further replies.
ndugu bernard kamilius membe (waziri wa mambo ya nje ) hapa ni muda mchache kabla ya kujiunga na USALAMA WA TAIFA (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa ( natinal security analyst) akiwa na miaka 25.
Picha nzuri ifaayo kuchorwa
 
Najua Kinachowauma Ni Kwamba Kwanini NYIE Mliopo Humo JIKONI Kwenu Hampewi Na Hamna Habari Hizi NYETI Na KUBWA Lakini GENTAMYCINE Mtu Wa Kawaida Sana Naheshimika Hadi Napewa Taarifa. Na Mtaninunia Na Kunichukia Sana Mwaka Huu Kudadadeki!

Aisee wewe jamaa Muhongo awe raisi ??????? Hongera Sana kwa MTU wa kawaida kupewa taarifa nyeti za nchi ,bila Shaka wewe ni mmoja wapo wa Rockefeller blood line NB ningependa kufahamu unapokaa ili hayo ya Muhongo kua rais yasipotimia nikupige japo kibao na sio mawe hadi kufa kama ulivyojihukumu mwenyewe
 
Aisee wewe jamaa Muhongo awe raisi ??????? Hongera Sana kwa MTU wa kawaida kupewa taarifa nyeti za nchi ,bila Shaka wewe ni mmoja wapo wa Rockefeller blood line NB ningependa kufahamu unapokaa ili hayo ya Muhongo kua rais yasipotimia nikupige japo kibao na sio mawe hadi kufa kama ulivyojihukumu mwenyewe

Time Will Tell NDIPO Mtajua GENTAMYCINE Ni Habari Nyingine!
 
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.

U're very wrong GENTAMYCINE, hao uliowataja wote hawapati na wala hawafikiriwi kabisa😕

Pili kwa mujibu wa katiba ya JMT makamu wa Rais ni lazima atoke upande mwingine wa nchi tofauti na anaotokea Rais.....mfano Rais akitoka Bara, makamu wake atatokea Visiwa &vise versa😛
 
Last edited by a moderator:
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.

hivi unaijua hata katiba ya nchi yako kweli!?? inawezekanaje raisi na makamo wa raisi wakatokea Tanzania bara wote!??? acha uongo na upopoma, kama huna cha kuandika go to bed
 
GENTAMYCIN

Siku hizi hakuna lile suala la rais bara makamu visiwani na kinyume chake?
 
Last edited by a moderator:
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.

Rais lowassa...makamu nchimbi au nahodha..waziri mkuu magufuli.Nilichoandika na uhakika nacho hifadhini hii mtaniambia!!!
 
hivi unaijua hata katiba ya nchi yako kweli!?? inawezekanaje raisi na makamo wa raisi wakatokea Tanzania bara wote!??? acha uongo na upopoma, kama huna cha kuandika go to bed

Nimefurahi Na Kucheka Sana Hapo Ulipotumia Neno POPOMA! Kweli Leo Neno Limenigeukia Mwenyewe.
 
ndugu bernard kamilius membe (waziri wa mambo ya nje ) hapa ni muda mchache kabla ya kujiunga na USALAMA WA TAIFA (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa ( natinal security analyst) akiwa na miaka 25.

attachment.php


Kasauti kake kalikuwaje enzi hizo?
 
Nawashangaa sana hamjui watu wa kujenga nao hoja.
Unabishanaje na mtu asiyejitambua?
 
Na Usisahau Kuwa Akiwa Huko Huko ULIKOKUTAJA Rais Wako Wa Sasa Alikuwa Anaripoti Kwa Bernard Membe Yaani Bernard Membe Alikuwa Ni Senior Kwa JK Wakiwa Idarani Na Ndiyo Maana JK Anamweshimu Na Anamwogopa Mno Bosi Wake Wa Zamani Bernard Membe. Kitaalamu Na Kisaikolojia Ya Kujasusi Macho Tu Hayo Ya Bernard Membe Ni Qualification Tosha Ya Yeye Kuwa Jasusi Kwani Yanaelezea Uimara Wake. Nahisi Hata Waliomfanyia Thorough Vetting Hawakupata au Kutumia Muda Mwengi Kwake. ILA Kwa Kazi Ya Urais HAFAI, HAIWEZI Na HATOIPATA Kwa Sababu Zangu Kubwa 15 Ninazozijua Za Kumuhusu Yeye. ATASUBIRI SANA TU!
mkuu wangu yaonekana unamfahamu huyu mtu kiundani sana.naomba kuuliza jambo kuhusu pua yake.tkt ujana wake pua inaonekana pana sana ni tofauti na alivyo sasa katika utu uzima wake.aliifanyia plastic surgery?.


alipokuwa kujana
attachment.php


alivyo sasa
07d5bd1a.jpg


mcheki Salim A Salim alipo kuwa na miaka 28
B8dGpxXCQAAfmWZ.jpg:large


alivyo hivi sasa.
Salim-Salim-Ahmed.jpg
 
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.
huyo wa namba 4 naweza kuamini,jana jioni nilikaa maeneo flani na mtu wa idarani,ktk mazungumzo yetu alimtaja huyo jamaa kuwa ni mmoja ya watu wanaoweza kuteuliwa kugombea uraisi kupitia CCM.
 
ndugu bernard kamilius membe (waziri wa mambo ya nje ) hapa ni muda mchache kabla ya kujiunga na USALAMA WA TAIFA (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa ( natinal security analyst) akiwa na miaka 25.

Hapa alishamuuwa Padre Komba au?
 
Hao Wote MNAOWATAJA Hawawezi Kuwa Marais ILA Kwa Kuwasaidieni Tu Ni Kwamba Membe Na Lowassa HAWATOPITA Na Nakutajieni Hapa Watu Wanne AMBAO NDIYO WATATEULIWA KTK MCHUANO BORA WA MWISHO. Na Ninachokiandika HAPA Nina UHAKIKA Nacho 100% Kwani NIMEPENYEZEWA Na WAPISHI WENYEWE MNAOWAJUA.

1. Professor Sospeter Muhongo........Ana Msaada Wa JK Mwenyewe, Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Mstaafu Warioba Idara
Zote Nyeti Uzijuazo Za Nchi Hii. (Makamu Wake Atakuwa Magufuli au Jaji Ramadhan)

2. Mzee Samuel Sitta............Ana Msaada Pia Kidogo Wa JK Kutokana Na Kazi Nzuri Aliyomfanyiaka Ktk Bunge La Katiba
Na Anakubalika Mno Na Idara Moja Kubwa Nyeti Hapa Nchini Na Nchi Marafiki.
(Makamu Wake Atakuwa Bernard Membe)

3. Mzee Abdurahman Kinana........Naye Pia Anakubalika Kwa Kiasi Chake Na JK Na Kwa Taarifa Yenu Tu Ni Kwamba Hata
Hizi Ziara Anazozifanya Huko Mikoani Anasingizia Tu Kuwa Anajenga Nchi ILA Ukweli Ni
Kwamba Anafagia Njia Ili Baadae Aje Kupita Kuokota Madini ( Kura ) Zenu.
(Makamu Wake Atakuwa Ni Mama Asha Rose Migiro)

4. Dakta John Nchimbi...........Huyu Ana Kubalika Na Kupendwa Na JK Na Hata Idara Karibia Zote NYETI Zinamkubali Na
Yupo Mafichoni Anapikwa.( Makamu Wake Ni Edward Lowassa)

NIMEMALIZA Na Narudia Tena Kusema Nilichokandika Hapo Ni 100% Sure.

Ina maana sifa mojawapo ya kuwa rais ni lazima upate msaada kwa Jakaya?
 
Huwa Sibishani Na Sijibizani Na MBWA WEWE Bali Nabishana Na Kujibizana Na Wenye MBWA Mabosi Wako Unaowatii Nchi Hii Na Najiamini.
hapo ndio naamini kuwa kichwa chako si kizuri kwani umeanza matusi wakati hata kwe nye CC ya CCM hauingii
  1. Muhongo kaichafua CCM kwa kusema uongo na kuficha uoza hata jina lake likija kwenye Ubunge kugombea kwao hatapitishwa
  2. Samweli 6 anayajua madhambi yake kwani hata u-Spika ndio ulichomuangusha hana KABA hata Ubunge kwao hayumo
  3. Kinana Katibu Mkuu anayepokea majina na kuyachuja ili ayapeleke CC na hata NEC ya CCM na mwisho Mkutano Mkuu CCMhawezi kujiweka jina lake na mchakato akamuachia nani, ni sasa hivi angeachia madaraka hayo, pili anajua hata Arusha walimkataa. (Usomali)
  4. Dr Nchimbi huyo anajijua kabisa hawezi nusa ndani ya CCM tabgu kashfa zake zakina amina Chifupa, Mpakanjia, na hata Komba (Uongo anaouendeleza kapewa Salamu za Msiba wa komba toka Msumbiji)
GENTAMYCINE matusi hayajengi kwa watanzania, ila wewe uko mbali na jijkoni katafute kuni wenzako wakimaliza kupakua kachumbari
 
Hapa alishamuuwa Padre Komba au?
mkuu una uhakika na unachokiongea ?
kama unauhakika labda uanze kwa kutuambia huyo padre komba ni nani na anauhusiano gani na jasusi membe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom