We jamaa ni muongo na mzandiki wa haja! Nani kakwambia JK aliwahi kuwa huku TISS na akawa ana report kwa Membe? JK hajawahi kuwa TISS na Membe hajawahi kuwa bosi wa JK! Acha uongo na upotoshaji kutafuta sifa za kijinga.
GENTAMYCINE Ni Brand INAYOVUTIA Na KUCHUKIWA Na MAPOPOMA Wengi ( Wewe INCLUSIVE ) Ila MTAISOMA Namba Mwaka Huu Rais Ni Professor Sospeter Muhongo Kataeni Kubalini Na MTAKUJA KUNIPA PONGEZI ZENU HUMU HUMU Jamvini. Tena Shukuru Kuwa Na Mtu Kama GENTAMYCINE Humu Kwani Nawafunueni Kwa Mengi Msiyoyajua Na Nyie Mkienda Huko Mitaani Kwenu Mnaanza Kuchukua Marks Kwa Mnaowahadithia. Chezea GENTAMYCINE Wewe!!!!!!
Hiyo katiba umetunga wewe na ndugu zako sebuleni kwenu? Toka lini Rais akitoka bara na makamu wake naye anatoka bara? Rudi shule kasome civics form 2! Wewe ni kilaza, eti Nchimbi makamu wake Lowassa!? Nenda Facebook kawasanganye watoto vilaza wenzio hili ni jukwaa la great thinkers na wewe siyo mmojawapo!