Jasusi Membe atakuwa na akaunti nyingi; zipitie zote ujiridhishe.hizo asilimia za ushindi nakubaliana nazo,ila kusema kuwa Membe ndio kasema ngoja kwanza nihakikishe katika akounti yake ya twitter.
Jasusi Membe atakuwa na akaunti nyingi; zipitie zote ujiridhishe.hizo asilimia za ushindi nakubaliana nazo,ila kusema kuwa Membe ndio kasema ngoja kwanza nihakikishe katika akounti yake ya twitter.
Kama wana 54% wana shida gani ya kuungana na huyo mwenye chini ya 10%. Hii ni kazi ya Mmawia sawa ile zawadi ya Bus kwa Lisu.Wataweza kweli?.....Aaahh wapiii hata wakiungana.....
Alitakiwa kuhamia wapi?!Muungano ni mzuri ila hata tusipoungana Membe ndiye atapoteza zaidi kuliko CHADEMA
Na Membe kashaona upepo wake umekata ila pamoja na yote CHADEMA wasijisahau kama watu wasemavyo kachero huwa hastaafu kwani hata ACT chanzo cha kuanzishwa kwake ni ili iiuwe CHADEMA ndio sababu had leo najiuliza ilikuwa vipi Maalim akahamiaga ACT au naye ndiyo walewale nyuma ya pazia
Naona juzi nanyi mmepewa zawadi.Kama wana 54% wana shida gani ya kuungana na huyo mwenye chini ya 10%. Hii ni kazi ya Mmawia sawa ile zawadi ya Bus kwa Lisu.