johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Nauliza tu endapo mgombea urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe atakataa kumwachia Tundu Lissu nafasi ya kugombea Urais kwa niaba ya upinzani ACT Wazalendo watamchukulia hatua gani?
Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?
Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla, Tindo
Je, atakuwa amevunja sheria ya ACT wazalendo?
Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu kuachiana nafasi baada ya uteuzi wake?
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla, Tindo