Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Abadilishe venue..Yeye Ni mwanaintelejensia asisubiri Hadi wazee wa kazi watimbe kuvuruga mkutano!
Hawa ni wasaliti tu hawa na hawana jema loloteLeo atakuwa anatangaza raimi kugombea uraisi.
Lissu akirudi,kibao kitageuka, na kuna hatari ya kugawana kura.
Ila ni kweli.Hata Magufuli anawaita akina Tundu Lissu ni walafi wa madaraka.
Watimbe mkutanoni?Abadilishe venue..Yeye Ni mwanaintelejensia asisubiri Hadi wazee wa kazi watimbe kuvuruga mkutano!
Jamaa enzi zake ilikua ukimkuta amekaa na vijana pale foreign affairs akijichekesha akijifanya yuko social/charming/smart/full kupaka piko kichwani aonekane bado kijana kijana,inshort alikua anam-copy mkwere lifestyle yake huku akijua yeye ndio next president.Atuombe radhi waTZ kwa kushiriki pakubwa kwenye wizi wa kura uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Membe huyu hana weight sasa na alikuwa anabebwa tu na nyota ya Kikwete hapo zamani
Once a Spy always a Spy.Sijui kwanini huyu jamaa simuamini kabisa.
Usimfananishe Magufuli na vitu vya Ajabu tafadhali sanaMembe ni mwizi, Membe ni zao la mfumo mbovu wa ccm na mnufaika wa mfumo uliofeli wa ccm, Membe hana tofauti yeyote na Mkapa Kikwete, Magufuli au Lowassa Anawazuga watu wapumbavu.
LA Jana lilikua ni kuhamiaKwani jana hakuwa na wanahabari??au tukio la jana limekosa kiki
na round hii sio ununioMwanakulotafuta Mwanakulipata msemo wa wazaramo
Ng'ara MagufuliUsimfananishe Magufuli na vitu vya Ajabu tafadhali sana
Upuuzi wako usiwaonyeshe wengine,kwani anakuwa ametenda kosa gani?Anatafuta picha akifurushwa na FFU ili apost twitter
Kwahiyo nchi hii imefika mahali tunapangiana ya kufanya?Kwani jana hakuwa na wanahabari??au tukio la jana limekosa kiki
Mwanakulotafuta Mwanakulipata msemo wa wazaramo
Yaani Kati ya watu ambao wamekosa mvuto wa kisiasa ni huyu Jamaa!!
Sjui wengine mnamwonaje!!
Kwa lugha ya kikwetu watu kama hao huitwa, Ccm yantulile salala!! Hana mvuto kabisaaa