Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Viongozi kujenga kwa siyo tatizo, Tatizo speed ya magu kujenga kwao ilikuwa inashangaza sana, yaani kufikia hadi kubadili kijiji kuwa mkoa huoni hili ni tatizo na mbaya kabisa niile kutaka kuendelea kuwa rais hata pale muda wake wa kikatiba kuisha kwa kisingizio miradi haijaisha na hakuna mwingine wa kumalizia.
Chato ni Kijiji? Hizi mambo huwa anawakremisha nani?
Chato ni wilaya kama zilivyo wilaya zingine, itigi, iramba, kasulu, kibondo, uvinza, kaliua n.k
Alafu hukk chato nahisi wengi hamjafika, hakuna miradi ya maana kihivyo kama.inavyosema, kwangu Cha ajabu nilichokiona ni ule uwanja. Siku ukienda unaweza kushangaa story unazosikia

Alafu hii mambo ya kusema alitaka kujiongezea muda ni hadithi tu, juma nkamia na ally kessy hawakurudi bungeni 2020. Kama tuliamini alitumia nguvu kuweka wabunge basi hata hao waliokuwa wanampigia kampeni bungeni aongeze muda angetumia nguvu kuwaweka kwenye ubunge.

Unajua wengi wanaomponda Magufuli huwa wanatumia uongo, ikiwa Kuna ya Ukweli ambayo wangeweza kuyatumia.
 
Mkuu, am not biased ila ukiwa rais kwa nje ni rahisi kujudge ila ndani ya taasisi ni tofauti. Kwa mfano, suala la kuongozewa ama kujiongezea muda (kama mnavyouaminisha umma) Je ni lini rais alitoka nje na kusimama na kutangaza kuwa anahitaji kufanya mchakato wa kujiongezea muda? Jibu HAKUNA ni here say tu, utasema wabunge walikua wanasema, na walitumwa? Hapana, siasa ina mambo mengi. Huwezi kuhukumu here says.

Nahisi kuchelea Chato huijui vema (nisahihishe kama nakosea), Na hakuna alisimama akasema ataipa hadhi ya mkoa Chato kama Chato. Tutasema pia alikua na mpango huo? Yes or No coz ni here says na speculations. Watanzania wengi tulipatwa uoga na kupigwa butwaa na aina yake hekaheka zake za uongozi, we never used to such kind of leadership kwa muda mrefu isipokuwa tu wale tulio ona utawala wa Mwl.

Kuna watu na wabunge wanasema Mama anatosha past 2030+, wengine wanasema sura yake awekwe kwenye pesa ya nchi. Je yeye kasema ama ni here says tu.

Naheshimu mawazo yako ila tujikite kwenye big issues, wanasiasa na wanaofaidi nchi hii ndio wanaotugonganisha na kutuburuza waendelee kula. It is a cycle
Wengi hata hawajui uhalisia. Kama issue ya chato, wanapaita chato Kijiji, wakati chato ni wilaya ya miaka mingi tu. Ni wilaya Kama zilivyo zingine newala, kibondo, uvinza, ngara, bukombe, ushetu n.k
Hakuna jipya lolote kama watu wanavyosema.
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Nilishawaambieni huyu jamaa msimpuuze.
Kanajifanya kana mwandiko mbayaaa kumbe lidude likuubwa nyuma ya keyboard.
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
@Bilionea Asigwa
 
Viongozi kujenga kwa siyo tatizo, Tatizo speed ya magu kujenga kwao ilikuwa inashangaza sana, yaani kufikia hadi kubadili kijiji kuwa mkoa huoni hili ni tatizo na mbaya kabisa niile kutaka kuendelea kuwa rais hata pale muda wake wa kikatiba kuisha kwa kisingizio miradi haijaisha na hakuna mwingine wa kumalizia.
Shida ulimezwa na Propaganda kuona kila kitu kinafanyika chato na si kwingine. Kijijini kwetu hakukua na barabara, ni wakati wa Magufuli ikajengwa. Inashangaza wazee porojo kupiga kelele za chato kila wakati. Hivi Kasi ya Dodoma kujengwa hukuiona?Au shida ni kwanini anajenga na kwao?
 
Shida ulimezwa na Propaganda kuona kila kitu kinafanyika chato na si kwingine. Kijijini kwetu hakukua na barabara, ni wakati wa Magufuli ikajengwa. Inashangaza wazee porojo kupiga kelele za chato kila wakati. Hivi Kasi ya Dodoma kujengwa hukuiona?Au shida ni kwanini anajenga na kwao?
Vipi kijijini chenu pia harakati za kuwa mkoa zilikwepo? vipi na uwanja wa ndege mmejengewa?
 
Ndio maana nasema wewe huwezi kupata hasara, tatizo ni Watoto wako na pengine watu wa karibu yako

Wasted sperm
My kids are ven better and smarter than you, na wanasoma shule za gharama kuliko hata kipato chako cha mwaka

stop being bitter kwa mambo ya mitandaoni, utapasuka, humu kuna watu wenye pesa zao, wenye maisha yao, wenye akili zao nyingi tu na nafasi kubwa, ukijiona smart sana eti kisa unamtetea JPM unajidanganya sana
 
My kids are ven better and smarter than you, na wanasoma shule za gharama kuliko hata kipato chako cha mwaka

stop being bitter kwa mambo ya mitandaoni, utapasuka, humu kuna watu wenye pesa zao, wenye maisha yao, wenye akili zao nyingi tu na nafasi kubwa, ukijiona smart sana eti kisa unamtetea JPM unajidanganya sana
Saikolojia haidanganyi, wenye maisha ya hayo ulijimwambafai hapo juu hawasemagi na kujisifia hivo.
Trust me upo very broke Mkuu..
 
Saikolojia haidanganyi, wenye maisha ya hayo ulijimwambafai hapo juu hawasemagi na kujisifia hivo.
Trust me upo very broke Mkuu..
A broke person is someone who thinks everybody is broke.

Enjoy your day, a piece of advice, jaribu kuwa positive hata pale watu wanapokua na opinions tofauti na kile unachokiamini, heshimu mawazo ya watu badala ya kuanza kuattack watu pale wanapotoa maoni ambayo hayakufurahishi

ULianza kuni attack kwa kusema kwamba watoto wangu wana hasara simply because my opinions isn't what you wanted to hear.
 
Back
Top Bottom