Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,191
- 3,711
Chato ni Kijiji? Hizi mambo huwa anawakremisha nani?Viongozi kujenga kwa siyo tatizo, Tatizo speed ya magu kujenga kwao ilikuwa inashangaza sana, yaani kufikia hadi kubadili kijiji kuwa mkoa huoni hili ni tatizo na mbaya kabisa niile kutaka kuendelea kuwa rais hata pale muda wake wa kikatiba kuisha kwa kisingizio miradi haijaisha na hakuna mwingine wa kumalizia.
Chato ni wilaya kama zilivyo wilaya zingine, itigi, iramba, kasulu, kibondo, uvinza, kaliua n.k
Alafu hukk chato nahisi wengi hamjafika, hakuna miradi ya maana kihivyo kama.inavyosema, kwangu Cha ajabu nilichokiona ni ule uwanja. Siku ukienda unaweza kushangaa story unazosikia
Alafu hii mambo ya kusema alitaka kujiongezea muda ni hadithi tu, juma nkamia na ally kessy hawakurudi bungeni 2020. Kama tuliamini alitumia nguvu kuweka wabunge basi hata hao waliokuwa wanampigia kampeni bungeni aongeze muda angetumia nguvu kuwaweka kwenye ubunge.
Unajua wengi wanaomponda Magufuli huwa wanatumia uongo, ikiwa Kuna ya Ukweli ambayo wangeweza kuyatumia.