Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Ikiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhitimishwa kwa muda uliotolewa na Mahakama, wa Cyprian Musiba kumlipa Ndugu Bernard Membe kitita cha hela Taslim zaidi ya Bil 9 za kitanzania , na huku kukikosekana dalili zozote za Ndugu Musiba au Marafiki zake kulipa fidia hiyo , Habari zilizotufikia zinadai kwamba Madalali waliopewa idhini ya kuuza mali hizo Wamezidiwa na Wateja .
Taarifa zinaeleza kwamba ofisi za Yono za Dar es salaam na Dodoma zimefurika maombi ya Wateja kiasi cha kuwachanganya wahusika , Hata hivyo kampuni ya Yono imedai kwamba atakayeuziwa ni yule atakayelipa zaidi kuliko wengine .
Kwa kifupi ni kwamba mali zote za Musiba ni kama zishauzwa , kinachosubiriwa ni kukamilika kwa michakato ya kisheria tu .
Tunarudia tena kuonya kama tulivyofanya miaka yote kwamba vijana jitahidini kuishi kwa haki , maana siku ya siku KILA UBAYA UTALIPWA .
Taarifa zinaeleza kwamba ofisi za Yono za Dar es salaam na Dodoma zimefurika maombi ya Wateja kiasi cha kuwachanganya wahusika , Hata hivyo kampuni ya Yono imedai kwamba atakayeuziwa ni yule atakayelipa zaidi kuliko wengine .
Kwa kifupi ni kwamba mali zote za Musiba ni kama zishauzwa , kinachosubiriwa ni kukamilika kwa michakato ya kisheria tu .
Tunarudia tena kuonya kama tulivyofanya miaka yote kwamba vijana jitahidini kuishi kwa haki , maana siku ya siku KILA UBAYA UTALIPWA .