Ni vigumu, Boss mwenyewe(Tuchel) kashaweka bayana kuwa ni vigumu, wana kazi ya kumpitisha Ngamia kwenye tundu la Sindano.Come on blues second leg Ipo
Hata hivyo lolote laweza tokeaNi vigumu, Boss mwenyewe(Tuchel) kashaweka bayana kuwa ni vigumu, wana kazi ya kumpitisha Ngamia kwenye tundu la Sindano.
Hata hivyo kwenye mpira lolote linawezekana
Come on blues second leg Ipo
No retreat no surrenderDah hamukati tamaa
A) MK 14Kibongo bongo huyo Karim Benzema unaweza kumfananisha na mchezaji gani katika utupiaji wa magoli msimu huu?
A.)Meddie Kagere
B.)Chris Mugalu
C.) Fiston Mayele
D.)Reliants Lusajo
E.) George Mpole
Nasubiri majibu.
❌ 00/100.A) MK 14
No retreat no surrender
Tutaendelea na huo motoSAsa mbona magoli mumeyamaliza leo? mutakuja kuyahitaji hayo Bernabeu
KabisaKarimu Benzema mwili mkubwa lakini mwepesi kama karatasi