Benson Bana: Taifa linahitaji kiongozi mwenye maadili

Benson Bana: Taifa linahitaji kiongozi mwenye maadili

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Akiongea na redio one asubuhi hii, Prf Benson Bana, Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema Watanzania kwa sasa wanahitaji kiongozi mwenye maadili safi.

Wakati tunajiandaa na kupokea serikali mpya ni vema juhudi,busara binafsi zikatumika katika kuhakikisha Taifa linapata kiongozi msafi ambaye atakuwa ni chachu ya maendeleo.

Hata hivo vijana katika vyama husika nao amewaasa kupunguza mihemuko ya kisiasa,watangulize maslahi mapana ya Taifa, wakatae kununuliwa na hatimaye wafanye uchaguzi sahihi.
 
Yule mpiga push up na mcheza mapanga majukwaani aliuza nyumba za serikali zaidi ya 8200 tena nyingi zikiwa maeneo ya uzunguni kwa bei ya nyanya masalo,ana maadili na usafi?!!

Magufuli anayejenga barabara kwa zaidi ya 15 miaka huku barabara zikiwa za hovyo na ghali ndio muadilifu?!! Ushahidi angalia barabara za Chalinze hadi Mlandizi ni kama bonde la mpunga!! Angalia barabara ya kabla ya Mikumi,Mikumi na hadi karibu na mlima Kitonga,ni kama reli chakavu!!!

Magufuli ambae amemfanya mkewe ajifiche na kuukataa hata ufesti lady kwa kukataa kushiriki kumuombea mmewe kura ndio muadilifu?! Muadilifu ambae anavunja hata taasisi yake ya ndoa kwa Keby's Hotel bin Kabula?!! Kama push up tu basi hata makuli na mateja wanaweza kupiga hata 100,Mabadiliko hayataki wasanii wa kucheza mapanga na push up!!!
 
Neno maadili kwa sasa ni sumu ndani ya kambi ya Lowassa.

Hawataki kabisa kusikia mtu akisema neno maadili kama kigezo cha kuchagua mgombea Urais.
 
CCM haina maadili, wanatukana wazee, wanapiga wazee, wanakashifu wagonjwa, wanapigana wao kwa wao. Yaani imekuwa kama kundi la vichaa
 
Yule mpiga push up na mcheza mapanga majukwaani aliuza nyumba za serikali zaidi ya 8200 tena nyingi zikiwa maeneo ya uzunguni kwa bei ya nyanya masalo,ana maadili na usafi?!!

Magufuli anayejenga barabara kwa zaidi ya 15 miaka huku barabara zikiwa za hovyo na ghali ndio muadilifu?!! Ushahidi angalia barabara za Chalinze hadi Mlandizi ni kama bonde la mpunga!! Angalia barabara ya kabla ya Mikumi,Mikumi na hadi karibu na mlima Kitonga,ni kama reli chakavu!!!

Magufuli ambae amemfanya mkewe ajifiche na kuukataa hata ufesti lady kwa kukataa kushiriki kumuombea mmewe kura ndio muadilifu?! Muadilifu ambae anavunja hata taasisi yake ya ndoa kwa Keby's Hotel bin Kabula?!! Kama push up tu basi hata makuli na mateja wanaweza kupiga hata 100,Mabadiliko hayataki wasanii wa kucheza mapanga na push up!!!
Mbona unapanic?

Kuna jina la Magufuli limetajwa kwenye hiyo habari?

Kwani kwenye hiyo habari wamesema Magufuli ana maadili?

This is criminal mentality! Watu wanapiga kelele wakisema mwizi mwizi halafu unaanza kukimbia ukidhani wanasema wewe ndiye mwizi.
 
Neno maadili kwa sasa ni sumu ndani ya kambi ya Lowassa.

Hawataki kabisa kusikia mtu akisema neno maadili kama kigezo cha kuchagua mgombea Urais.

Kweli?

Tupeni basi rasimu ya Warioba ambayo kuna maadili mengi tunayotaka.
 
maadl gani atanakusudia? magufuli si ana kimada nyakato sokoni anaitwa sundi, hayo nayo ni maadili? we want lowassa.
 
Neno maadili kwa sasa ni sumu ndani ya kambi ya Lowassa.

Hawataki kabisa kusikia mtu akisema neno maadili kama kigezo cha kuchagua mgombea Urais.

kipaumbele cha kwanza ELIMU, Cha pili ELIMU na tatu ELIMU
 
Akiongea na redio one asubuhi hii, Prf Benson Bana, Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema Watanzania kwa sasa wanahitaji kiongozi mwenye maadili safi.

Wakati tunajiandaa na kupokea serikali mpya ni vema juhudi,busara binafsi zikatumika katika kuhakikisha Taifa linapata kiongozi msafi ambaye atakuwa ni chachu ya maendeleo.

Hata hivo vijana katika vyama husika nao amewaasa kupunguza mihemuko ya kisiasa,watangulize maslahi mapana ya Taifa, wakatae kununuliwa na hatimaye wafanye uchaguzi sahihi.

ELIMU ELIMU ELIMU
lowasa kwanza viwanda baadae
 
Mwenye maadili na mchapa kazi.

Anaweza akawa na maadili kwa sabb amekosa namna ya kupiga dili.

Hapa mwenye maadili na mchapakazi ni LOWASA NGOYAI EDWARD tuuuu
 
Nadhani Dr.Bana alikuwa anamaanisha watanzania wamchague Anna Nghwira(ACT), Hashimu Rungwe(CHAUMMA), Chief Liemba(ADC), Dovutwa(UPDP), Lyimo(TLP).
 
wasomi watanzania ni waoga maprofesa wetu hawawezi kusimamia kile wanachoamini wanaongea kikasuku kwa kusifia tabaka tawala wanasahau kuwa elimu walizonazo zinatakiwa kutumika kulikomboa taifa ila wao waseme tu WATANZANIA walio na elimu ya kawaida watawakomboa hata maprofesa kwa kuichinja ccm october
 
Yaani wafuasi wa ukawa wamekuwa kama mateja, wakisikia tu sauti ya defender wote kona, wakisikia maadili Hata hawajatajwa jina povu linawatoka
 
Hongera Proff.kwa kuliona hilo tunahitaji amani na utulivu
 
Mbona unapanic?

Kuna jina la Magufuli limetajwa kwenye hiyo habari?

Kwani kwenye hiyo habari wamesema Magufuli ana maadili?

This is criminal mentality! Watu wanapiga kelele wakisema mwizi mwizi halafu unaanza kukimbia ukidhani wanasema wewe ndiye mwizi.

Mimi ndio nimemtaja Magufuli na tena nasema ni mwizi tu ambae amepewa jukumu la kuokoa chama cha majizi,ufisadi wa Magufuli ni mkubwa kuliko wa Lowassa na Chenge!!

Magufuli kagawa majumba ya serikali kwa bei ya nyanya masalo,nyumba 8000 ukizidisha japo kwa 50 million ni sawa na kiasi gani?!!

Magufuli kasimamia ujenzi wa barabara za biscuits ambapo kipindi cha Mkapa 1km ilikuwa ni 800 mln ila sasa 1.2 billion,wizi mtupu!!!

Magufuli aliyepora Makao Makuu ya Wilaya na kuyapeleka kijijini kwake sio fisadi?!

Magufuli aliyepindisha ujenzi wa barabara na kupeleka kwake huku kijjijini kwao Chato akiweka hadi traffic light ili hali kuna jiji kama Tanga ambalo halina hata traffic light moja sio wizi huo na ufisadi?!!

Kama kusalimia wattu kwa kimakabila hata mimi naweza kuliko msanii Magufuli

Kimasai-yero sabai,takwenyaa!!

Kidigo-Ukaramkaze,usaberwa?!

Kinyakyusa-ulinkafu?! Twa kukaya I kyela?! Ndaga,ena!!

Kisambaa-Mgosi kwenuka zeze? Na wandere na wabwanga?! Ooh tate nane Lowassa oyeee!!!

Kisukuma-Mwangaruka ngosha,ulimora?! Wabeja mwanawane!
!
Na hapo bado kichaga,kipare,kimanyema na hata kizindawe ila hatutaki raisi Kasuku anayeleta maigizo ya ukasuku na kukariri hadi anatoa mapovu!!!

Na kama push up naweza kupiga hata kwa mkono mmoja au kwa kusimamisha uume tu pasi mikono,tumchague Magufuli kwa lipi na CCM yake?!!
 
Back
Top Bottom