Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
Red haionekani mkuu! ila ujumbe umefika,hawa nyinyiemu **** kweli,vijana wameathiriwa na akili za wazee,SHAME ON MALISA