Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

Source:Mwananchi
 
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

Source:Mwananchi

Hapo nilipopanenepesha pamenivutia! Kumbe amesahau kuwa vijana wao wengi sasa wanatembea kwa kutumia mikongojo!
 
Nadhani njia mojawapo watakayotumia uvccm kuwajibu wapinzani ni pamoja na kuendelea kuwachinja kama walivyoanza sasa.
 
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

Source:Mwananchi

Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
 
Asiwachuuze mjipatie kesi mhangaike nazo, nawashauri vijana jihadharini na mipango ya hujuma ipangwayo na ccm, msishiriki, mwachieni Mwigulu na @Nape.
 
Last edited by a moderator:
Hili chama zee lina matatizo, kila siku wanaamrishwa wajibu mapigo, ujumbe huwa haufiki au wanaogopa?
 
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

Source:Mwananchi

Kwa kauli hii ya Malisa amekivua nguo chama chake
 
haya ni mambo ya siasa za maneno kushusha presha shemeji malissa uko jibu haya
 
Anamaanisha kuwachinja viongozi wetu hata kwa CHENSOO
Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
 
Hivi hana habari kuwa vijana wanaikimbia CCM kila kukicha? Ni vijana gani hao wakujibu mapigo.
 
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

Source:Mwananchi

Malisa unatumia na nani?
 
Back
Top Bottom