Benki ya Dunia yakanusha kuipongeza Tanzania

Benki ya Dunia yakanusha kuipongeza Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,832
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.

1586873378980.png
 
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.

View attachment 1419024
Sasa kama wao wanaona Tz haina mpango wa kupambana na Corona sisi tufanyeje? Wataamua wenyewe!!!
 
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.

Hapo ndiyo kukanusha wewe azikutoshi mkuu! Ni mbumbumbu wa karne!
 
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.


Team ya ikulu ya propaganda sio nzuri ni watu wakudanganya danganya tu wakati huu wa miaka ya mitandao itakuwa ngumu sana. Hapa kazi tu imeishia wapi?
 
World bank imeona Tanzania haikuchukua hatua yoyote kupambana na Corona zaidi ya viongozi kuhamasisha kuchapa kazi na kusali.

Hivi kama repoti tu zinazotolewa zinachukua hata wiki ,safari za anga za nje zimefungwa juzi ,lockdown hamna,ni kuhamasisha tu kunawa na sanitizer watu wanazonunua kwa hela zao halafu WB iwape hela??

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.

Kama hii kitu imetoka WB basi hawajitambui kama ilivyo Serekali yenyewe ya TZ,wapi Serekali ya TZ imesema wamesifiwa na WB
 
Aprili 9, ilizungumzia mradi wakusaidia nchi masikini juu ya kupambana na CoronaVirus, na walitaja athari za kiuchumi zitakazotokana na Covid19 na wakatoa mapendekezo.

Katika taarifa hiyo Tanzania haikutajwa kwa kuwa Benki ya Dunia haikupata hatua ambazo Tanzania ilizichukua. Benki ya Dunia inafanya kazi kwa karibu na kila serikali kuhakikisha hatua zinachukuliwa kuokoa maisha ya watu.

Lumumba buku7 wako wapi
 
Kuna statement yoyote ya serikali ya kusema WB imeipongeza Tanzania? Ebu iweke hapa tuione.

Mkuu nilifungua hii story na links zote zimo - Imeondolewa kwa sababu tu JPM anawanyima usingizi.

World Bank Warns African Countries Copying Western Anti-COVID-19 Policies


Tuesday, April 14, 2020 / 01:07 AM / By RedPepper Editorial & World Bank / Header Image Credit: WatPad

The World Bank Group has applauded Tanzanian unique approaches to contain the COVID-19 pandemic and also cautioned African states to desist from copying Western practices and policies to curb its spread.

"Thanks, President John Magufuli for not duplicating policies implemented in advanced countries and some middle - income as pasted by some African countries in the region.

The Africa's Pulse Report titled as "assessing the economic impact of COVID-19 and Policy Responses in Sub-Saharan Africa" released yesterday has commended Tanzania as one of the best examples for its strategic approaches that considers the best of its political economy and well-being of the society.

With 32 COVID- 19 confirmed cases, 3 deaths and 5 recoveries, Tanzania unlike other African countries has not locked down businesses and its citizens. The country has not also closed its borders but initiated strict testings and 14 days quarantine to all arrivals.

The World Bank report warns catastrophic consequences to sub- Saharan countries that have copied and pasted anti COVID- 19 policies.

"Facing a fast-changing situation with great uncertainty and so many unknowns, most governments around the world have resumed to similar approaches to contain the COVID-19 pandemic", the report states.

The report mentions South Africa, Ghana, Rwanda, and Kenya, who have reacted quickly and decisively to curb the potential influx and spread of the COVID-19 virus very much in line with emerging international experience.

The report warns these countries that as the situation evolves, there are more questions about suitability and likely effectiveness of some of these policies such as strict confinement.

It advises African governments deploy a series of emergency measures and structural features of African economies that shape the policy responses that are designed and implemented to fend-off COVID-19.

The World Bank has given multiple reasons why economic policies implemented in Sub-Saharan Africa should be different from those adopted in advanced countries and (some) middle-income countries.
World Bank Warns African Countries Copying Western Anti-COVID-19 Policies
 
Kuna habari zimetapakaa kuwa WB wameipongeza Tanzania kwa muktadha huo. Wangekaa kimya maana yake ingeonekana kuwa ni kweli.

Mkuu mimi ndio niliweka huo uzi naona unawakera .... ..... Ding ...dong!
 
Back
Top Bottom