Eli Cohen JF-Expert Member Jun 19, 2023 1,309 4,017 Jan 19, 2024 #1 Hahah wameamua hadi kuweka picha zao kwenye gazeti la mwananchi. Mwezi mmoja baada ya hili tangazo watachukuliwa hatua kama watakuwa hawajalipa.
Hahah wameamua hadi kuweka picha zao kwenye gazeti la mwananchi. Mwezi mmoja baada ya hili tangazo watachukuliwa hatua kama watakuwa hawajalipa.
peno hasegawa JF-Expert Member Feb 24, 2016 12,830 21,460 Jan 19, 2024 #2 Uzeni nyumba zao wakalale lumumba
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,381 33,032 Jan 19, 2024 #3 Hivi UVCCM ni wazee kiasi hiki? Mi nilidhani UVCCM ni vijana wa miaka 15-35
peno hasegawa JF-Expert Member Feb 24, 2016 12,830 21,460 Jan 19, 2024 #4 Kinyungu said: Hivi UVCCM ni wazee kiasi hiki? Mi nilidhani UVCCM ni vijana wa miaka 15-35 Click to expand... Hata Wassira in UVCCM
Kinyungu said: Hivi UVCCM ni wazee kiasi hiki? Mi nilidhani UVCCM ni vijana wa miaka 15-35 Click to expand... Hata Wassira in UVCCM