Hakuna kitu cha kumfia maana kiti amekikalia kweli kweli na matunda chanya tutayaona.Akae pembeni aache mambo yamfie mwenyewe
Hakuna kitu cha kumfia maana kiti amekikalia kweli kweli na matunda chanya tutayaona.Akae pembeni aache mambo yamfie mwenyewe
Mzee mwanakijiji naona akili imeanza kukurudia baada ya kukaa mafichoni ?.Mbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Ngoja nikautoe fotokopi....rudia kusoma uzi !
Kwako au kwa wana jf wote?kwangu Mimi ni poa sana,tena nasema kwa utawala huu kama wewe ni gugu jitoe haraka tubaki na nganoTakataka tupu!
Ndio maanakee .ataa hicho kidogo kilicho kua kinapatikana kitapotea .yetu macho .Mpaka hapo Lorry litakaposimamiaDu!Black market officially opened , Kifo cha Tz shilling. Mke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake.
Zabernism at its bestTaarifa Mpya: Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.
Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa waliokamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.
Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.
Source:Msemaji Mkuu wa Serikali
Kwako we kila kitu ni swafi walahi! Yaani upo kama robot walahi!Swafiiii sana walahi
Uchochezee huu .haha hahaUshauri : Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni yakabidhiwe jeshi letu
Duniani kote Profesa nje ya eneo la chuo na mahabara .umefeliAtaongea nini ni prof harafu kichwani wa kawaida kabisa inasaidia nini ndio anatoa mawazo ya ukaguzi kwa kutumia jeshi la Wananchi...
we POYOYO unafkiri watu wanapenda kukwepa kodi! tatizo ni kodi zisizo na vipimo! mtu anafungua kibanda cha kuuza vocha mtaji laki 4 unakuja kumwambia BANGO 120,000, Leseni 80,000! TRA 100,000 , hajalipa pango, na bado unakuja na leseni ya zima moto 40,000!Hii ni hatua nzuri, tudhibiti fedha haramu na biashara haramu kwa manufaa ya nchi, hilo zoezi liendelee pia kwa wakwepa kodi nchi nzima
Habari zilizovunjikaSijui maana ya breaking news,naomba kueleweshwa
Watu walikuwa wanalalamika jeshi limetumika. Sasa maelezo yametolewa wameridhika?Mzee Mwanakijiji acha unafiki unataka kukosoa nn hapa.
...kwani hujawaona Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Taasisi za Umma.Huu mpango wa kuwashirikisha hawa wanajeshi ipo
siku na wao watanogewa na kazi za kijamii