white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
Uchumi wa nchi ya kusadikika kamwe hautakuzwa kwa vitisho na mabavu, mala wajeda!!! Bali ni mikakati madhubuti na mipango mizuri!!!
Kichwa maji wewe.Soma habari mwenyewe usipende kutafuniwa kila kitu kama mtoto...
Na vituo vnafungwa!Nimesikitika sana.. Kudanganya mchna kweupe.. Ina maana jiji LA arusha lina maduka mengi ya kubadilisha pesa hadi polisi hawatoshi... Ina maana mitihani ikianza police woote wanaenda kusimamia!???
Arusha ukipita barabarani kila baada ya mita 200 utakuta polisi wa usalama barabarani zaidi ya kumi.Sasa hivi jwtz tutaliona kama mgambo...
Huyu profeseri ndo anatoa haya maneno. Inamaana now arusha hakuna usalama kwamba polisi wote wako kwenye mitihani?? si mchezo...tulipofikia pabaya.
fear of the unknown, kwa mujibu wa SumayeJeshi limeanza kutumika kwenye mambo ya hovyo.
Kwamujibu wa katiba: -
i/Jeshi linawajibu wa kulinda mipaka ya nchi.
ii/ kulinda & kuitetea katiba ya nchi.
Sasa hayo mambo ya sijui kukusanya korosho, sijui kuimarisha ulinzi kwenye 'Bureau de change' sijui yanatoka wapi.