kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,405
huyu alikua anaenda na wakati kwa kila jambo, alifikia kipindi aliona nchi inafaa kua na liuwanja likubwa LA mpira likajengwa, sina uhakika kama ilikua ni ndege au rada, alisema hata tukila nyasi lazima kitu inunuliwe,