BENJAMIN NETANYAHU aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran

BENJAMIN NETANYAHU aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran

Wewe ni wakuonewa huruma tu,unaonekana maisha yamekuchanganya sana.
Tunaongelea nchi kisha wewe unatoa mifano ya vikundi! hivi una elimu gani?
hakuna nchi isiyo na wafadhiri au wa kusaidiana nao na kusaidiwa na maswahiba wako si kosa na si unyonge, na utambue dunia imegawanyka kwny sera 2 sera ya ubepari hapa ndo kuna kna USA, ULAYA, ISRAEL, nk nk hawa wanaendana kwny mambo mengi na mara zote huwa hawaelewan na tawala za waarabu na hki ndcho chanzo cha waarabu baadhi yao na waislam koko wa uku africa kuwachukia wazungu, na kuna sera ya ujamaa humu ndmo kuna urusi, china, venezuela, cuba, north korea nk nk hawa wanapendwa sn na waarabu sbb wao tawala zao ni za kidkteta znaendana na tawala za kiarabu hakuna demokrasia na ndcho chanzo cha waarabu na waislam koko kufungamana nao ila hawajui kama hao siyo waislam na wala hawafungaman na uislam.
 
Mlituaminisha Iran ya Ayatollah ingeanguka kwenye maandamano ya siku chache zilizopita! Tena mpaka Trump aliahidi kuishambulia Iran kama sehemu ya kuwaunga mkono waandamanaji!

Cha kushangaza hakuna kilichotokea! Na badala yake mnatuletea mikwara tu ya Waziri Mkuu Benjamini Netanyahu!! Wayahudi na Wamarekani, ufafanuzi tafadhali.
 
Wewe ni wakuonewa huruma tu,unaonekana maisha yamekuchanganya sana.
Tunaongelea nchi kisha wewe unatoa mifano ya vikundi! hivi una elimu gani?
Unionee huruma kwani mimi Mmeo??

Kila nchi au vikundi wana mfadhili kama Russia tu ambaye ni Supa Pawa anasaidiwa na nchi kibao utasemaje kwa Israel?
 
Unionee huruma kwani mimi Mmeo??

Kila nchi au vikundi wana mfadhili kama Russia tu ambaye ni Supa Pawa anasaidiwa na nchi kibao utasemaje kwa Israel?
Kumbe hata hukuelewa hoja yangu! sikiliza Binti,huyo unayemuabudu hawezi hata kutupa jiwe bila kupata ruhusa kutoka kwa mfadhili wake coz hua anataka kuhakikishiwa usalama wake kwanza kabla hajaanza uchokozi.
 
Jeshi la mtu mmoja analilia silaha na dola za USA!?


Wewe inaonekana hujui kabisa uhusiano kati ya Israel na Marekani:

Ufahamu kuwa Marekani ni taifa pacha la Israel.

Idadi ya wayahudi waishio Marekani ni karibia sawa na idadi ya wayahudi waishio Israel.

Wayahudi waliopo Marekani, karibia wote wapo maeneo muhimu ya tekinolojia, Sayansi, uvumbuzi na uchumi.

Kuna miradi ya ushirikiano katika tekinolojia kati ya Israel na Marekani.

Ndiyo maana kinachotolewa na USA kwenda Israel, hakihesabiki kama msaada bali wajibu wa ushirikiano.

Wajibu wa kifedha wa Marekani kwa bajeti ya jeshi la Israel ni dola bilioni 3 kwa mwaka. Huo ndio wajibu pekee wa Marekani kwa Israel. Israel haipokei msaada wowote wa kiuchumi au maendeleo ya jamii toka Taifa lolote Duniani. Uchumi wa Israel ni karibia mara 6 ya uchumi wa Tanzania, na karibia mara 2 ya ule wa Iran, licha nchi ni ndogo sana, na population yao ni ndogo sana. Ukilinganisha utajiri halisi wa Israel, ni karibia mara 70 ya ule wa Tanzania.
Tanzania per capita USD 1,160
Iran per capita
USD 4,075
Israel per capita
USD 60,009

2025 Total GDP Iran bilion $356. Mwaka 2010 ilikuwa bilioni $600. Iran inaenda kaburini1

Total GDP Israel bilion $610.75. Israel mwaka 2010 ilikuwa bilioni 238.9.
NB: Israel inazidi kupaa, Iran inazidi kudidimia. Kwa mwenendo wa Iran, kama hakutakuwa na mabadiliko, uchumi wake mwaka 2035, utakuwa sawa na huu wa Tanzania kwa sasa. Hapa ndipo Ayatollah alipowafikisha.
 
Kasaidiwa kila kitu kuzichapa na Hamas amechemsha ndio atawaweza wairani?

Sasahivi amebaki kubweka tu eti Hamas wanyang'anywe siraha. NONSENSE. Anafikiri hamas ni mafala

Kuhusu Iran, kamsomesha mfadhiri wake eti iran hiachane na uzalishaji wa makombola. Pumbafu sana hawa waisrael
 
Wewe inaonekana hujui kabisa uhusiano kati ya Israel na Marekani:

Ufahamu kuwa Marekani ni taifa pacha la Israel.

Idadi ya wayahudi waishio Marekani ni karibia sawa na idadi ya wayahudi waishio Israel.

Wayahudi waliopo Marekani, karibia wote wapo maeneo muhimu ya tekinolojia, Sayansi, uvumbuzi na uchumi.

Kuna miradi ya ushirikiano katika tekinolojia kati ya Israel na Marekani.

Ndiyo maana kinachotolewa na USA kwenda Israel, hakihesabiki kama msaada bali wajibu wa ushirikiano.

Wajibu wa kifedha wa Marekani kwa bajeti ya jeshi la Israel ni dola bilioni 3 kwa mwaka. Huo ndio wajibu pekee wa Marekani kwa Israel. Israel haipokei msaada wowote wa kiuchumi au maendeleo ya jamii toka Taifa lolote Duniani. Uchumi wa Israel ni karibia mara 6 ya uchumi wa Tanzania, na karibia mara 2 ya ule wa Iran, licha nchi ni ndogo sana, na population yao ni ndogo sana. Ukilinganisha utajiri halisi wa Israel, ni karibia mara 70 ya ule wa Tanzania.
Tanzania per capita USD 1,160
Iran per capita
USD 4,075
Israel per capita
USD 60,009

2025 Total GDP Iran bilion $356. Mwaka 2010 ilikuwa bilioni $600. Iran inaenda kaburini1

Total GDP Israel bilion $610.75. Israel mwaka 2010 ilikuwa bilioni 238.9.
NB: Israel inazidi kupaa, Iran inazidi kudidimia. Kwa mwenendo wa Iran, kama hakutakuwa na mabadiliko, uchumi wake mwaka 2035, utakuwa sawa na huu wa Tanzania kwa sasa. Hapa ndipo Ayatollah alipowafikisha.
Mkuu hivi unajua kua Iran ipo kwenye economic sanction kwa miaka mingapi?
 
Kasaidiwa kila kitu kuzichapa na Hamas amechemsha ndio atawaweza wairani?

Sasahivi amebaki kubweka tu eti Hamas wanyang'anywe siraha. NONSENSE. Anafikiri hamas ni mafala

Kuhusu Iran, kamsomesha mfadhiri wake eti iran hiachane na uzalishaji wa makombola. Pumbafu sana hawa waisrael
Endeleeni tu kujifariji lakini safari hii Hamas,Hezbollah,Houth na Bwana wao Iran wamenyooshwa vizuri sana.

Sasa hivi Magaidi wa Hezbollah wanapigwa kama Ngoma huko Lebanon na hawawezi kurusha hata jiwe moja kuelekea Israel maana wanajua kitakachofuatia.

Bwana wao Iran naye June 13,2025 alipewa kipondo kiliendelea kwa siku 12 mpaka June 24,2025 Jeshi la Iran liliachwa uchi wa Mnyama kwa makamanda wake waandamizi 70 na watu wengine zaidi ya 1,000 kuuwawa hiyo tu inaonyesha ni jinsi gani Jeshi la Iran lilivyo dhaifu mbele ya IDF.
 

Attachments

  • IMG_3499.jpeg
    IMG_3499.jpeg
    132.9 KB · Views: 11
  • IMG_3466.jpeg
    IMG_3466.jpeg
    339.2 KB · Views: 18
  • IMG_3479.jpeg
    IMG_3479.jpeg
    351.6 KB · Views: 9
  • IMG_3404.jpeg
    IMG_3404.jpeg
    72.7 KB · Views: 8
  • IMG_3405.jpeg
    IMG_3405.jpeg
    65.3 KB · Views: 11
  • IMG_3419.jpeg
    IMG_3419.jpeg
    35.8 KB · Views: 8
  • IMG_3403.jpeg
    IMG_3403.jpeg
    130 KB · Views: 10
  • IMG_3402.jpeg
    IMG_3402.jpeg
    112.9 KB · Views: 10
  • IMG_3401.jpeg
    IMG_3401.jpeg
    59.9 KB · Views: 9
Endeleeni tu kujifariji lakini safari hii Hamas,Hezbollah,Houth na Bwana wao Iran wamenyooshwa vizuri sana.

Sasa hivi Magaidi wa Hezbollah wanapigwa kama Ngoma huko Lebanon na hawawezi kurusha hata jiwe moja kuelekea Israel maana wanajua kitakachofuatia.

Bwana wao Iran naye June 13,2025 alipewa kipondo kiliendelea kwa siku 12 mpaka June 24,2025 Jeshi la Iran liliachwa uchi wa Mnyama kwa makamanda wake waandamizi 70 na watu wengine zaidi ya 1,000 kuuwawa hiyo tu inaonyesha ni jinsi gani Jeshi la Iran lilivyo dhaifu mbele ya IDF.
Kwahiyo baada ya makamanda kuuwawa, makopro waliendeleza kichapo mpaka Netanyau akaomba poo🤣🤣
 
Naona leo umelala bila kuchamba!!

Akili matope kama hizi ndizo zinazowafanya waarabu waendelee kupigwa kama ngoma na Israel!!!!
hujui kitu kwasababu hujasoma, haya yanayotokea yalishaandikwa. Ni suala la muda tu yatokee
 
Endelea kusubiri Nazi idondoke kwenye mti wa members au ukojolee baharini harafu utarajie maji ya bahari kubadirika!!
Waislam tunaamini kuwa Yesu atarudi tena duniani toka alipopaishwa kwenda mbinguni miaka 2000 iliyopita...Ukifa leo haina maana ya kuwa hili jambo halitakuja kutokea...

Kila jambo limewekewa wakati wako na Mungu ndiye mjuzi wa yote.

Tunaamini kuwa kuna Siku ya Qiyama ila tukifa leo haibatilishi uwepo wa siku ya Qiyama
 
Waislam tunaamini kuwa Yesu atarudi tena duniani toka alipopaishwa kwenda mbinguni miaka 2000 iliyopita...Ukifa leo haina maana ya kuwa hili jambo halitakuja kutokea...

Kila jambo limewekewa wakati wako na Mungu ndiye mjuzi wa yote.

Tunaamini kuwa kuna Siku ya Qiyama ila tukifa leo haibatilishi uwepo wa siku ya Qiyama
Usifikiri wote tunaamini ujinga huo!!!
 
Ahadi isiyopingika na ni suala la muda tu...


Kizazi za kiyahudi kitafutiliwa mbali katika uso wa dunia.

Qiyama hakitasimama mpaka pale Waislam watakapopigana vita kubwa ya dunia dhidi ya Wayahudi.

Kukusanywa kwa wayahudi katika ardhi ya Palestine ni moja ya mipango ya Mungu katika kukifutilia mbali hiki kizazi cha jamii ya watu waharibifu hapa duniani.

Sahih Bukhar

'
Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said, "The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."
Hamna jipya hapo. Hizo ni zile hadithi za Sungura alimdanganya Tembo akakanyaga moto.
 
nimesema " Waislam" sijakutaja wewe KAFIRI
Ndiyo maana mnadanganywa kwenda Makka kumpiga mawe shetani kwa kukosa akili kwenu nanyi mnaenda!!

Mnadanganywa eti ukifa unafanya ugaidi huko peponi unapewa Mabikira 72 uwabikiri yaani ujinga mtupu!!

Na ndiyo maana akili zenu zimebaki kuwaza mambo ya NGONO tu Ujinga mtupu!!
 
Ndiyo maana mnadanganywa kwenda Makka kumpiga mawe shetani kwa kukosa akili kwenu nanyi mnaenda!!

Mnadanganywa eti ukifa unafanya ugaidi huko peponi unapewa Mabikira 72 uwabikiri yaani ujinga mtupu!!

Na ndiyo maana akili zenu zimebaki kuwaza mambo ya NGONO tu Ujinga mtupu!!
kwahiyo mbinguni unataka tukubikiri wewe? maana unawaonea sana wivu wanawake wa mbinguni.
 
Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika
Msimamo upi? Anayeamua ni Trump sio huyu kibaraka. Ndio maana Trump alivyosita kusaidia waandamanaji na huyo kibaraka akaufyata. Angejichanganya aende angejikuta anageukwa na Trump na angeng'olewa kwenye kiti.
 
Back
Top Bottom