Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)

Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)

Nimeinyaka video ya mahojiano (mwaka 2001) kati ya Mhe. Mkapa na kile kipindi cha BBC HardTalk.

Kweli hii ilikuwa "HardTalk" kwani jamaa walimbana acha.

Waweza kuitazama kupitia link hii:


anakimbilia we are independentcountries we want to govern ourselves, hizo ni hoja za waliokosa hoja wanadhani wanaingiliwa na wazungu.

Yes you are i dependent coountries but thatnis never a justification for violences, abuse of power and breach of democracy.

Miafrika inakosea yenyewe kwa uroho wa madaraka iiulizwa iakimbilia kudai.inaingiliwa na wazungu. Inakimbilia kudai kuwa iko huru na isiingiliwe. pumbavu kabisa.
 
I like it, Mh. Mkapa alivyomweka sawa kwa hoja mwandishi mzungu mpaka akalainika na ku-conduct a proper interview. Ni ndoto zangu hali hii ya kujenga hoja ikaeleweka kama Mh. Mkapa ingekuwa inapatikana ktk serikali zote za kiafrika maanake aliyepo sasa hivi Afrika ni Mh. Robert Mugabe pekee anayeweza kujenga hoja.
Viongozi wetu hawapendi tuwe na uwezo wa kujenga hoja kama Mkapa.Wanataka tuwe wanyonge.Na ndio maana ata Bunge Live ilipigwa marufuku.
 
Nina mashaka na wewe kuwa hujui kiingereza Kama bwana wenu mwenyekiti
Yaani sikuo hata haja ya kumjibu, either hakuelewa kitu au anajaribu ku'deceive wale ambao anahisi hawakuelewa.
Maswali mengi yalikuwa ni 'leading questions', jamaa alikuwa amefanya homework yake akajua misimamo ya Lissu so alichokuwa anafanya alitaka dunia ipate firsthand hand information kuhusu yaliyomtokea Lissu na kinachoendelea Bongo.
The only tricky question lilikuwa ni la msimamo kuhusu mashogo kama atakuwa kiongozi na good enough he tried his best level there kwa jinsi alivyojibu labda kidogo pia kuhusu ushahidi wa allegations za kuwa wabunge wanaorudi chama tawala wananunuliwa but the rest was a very smooth flow.
 
Tatizo hapa Watanzania wengi hatujazoea kuwa na watu walio na uwezo wa kuzungumza vizuri ndio maana wengi mnakuwa mko impressed naye. Kwenye nchi zilizoendelea angekuwa anaonekana ni wa kawaida sana.
Nafikiri sio tu kuwa 'impressed' watu wako 'obsessed' haswaa na umahiri wa kiingereza kuliko hata kuchambua hoja za msingi, sijui eloquence na fluency vina tija gani haswa ya moja kwa moja kwetu?? kama ni hivi tuanze kushadadia na kiswahili chetu tukikipa attention tutafika mbali....
 
UK General Elections. Turnout at the 2017 General Election was 68.8% and was the fourth successive election where turnout increased. The highest turnout recorded at a UK general election over the last 100 years was in 1950, 83.9%
 
ilikuwa 2001 ,hali ya zanzibar ni joto kwelikweli,maandamano yamefanyika watu wameuliwa wengine wakakimbilia shimoni kenya kama wakimbizi,jamaa alibanwa na Tim sebastian kwenye hard talk hadi kagonga meza na kusema waliokufa ni 17 tu as if ni inzi waliokufa na siyo binadamu.Kikwete alileta serikali ya umoja yaani SUK zenji ila huyu wa sasa hivi yeye anasisitiza WATUPANE VISIMANI wauane ,haya bana,kina kenyata na huko Ethiopia wamerudi nyuma baada ya siasa za chuki kuwa hasara badala ya faida wanachagua kupingana bila kupigana hapa ni UADUI NA MATESO MBELE,mbegu ya chuki ishaoza inamea kwa kasi sana,tutayaona matokeo yake soon
OKAYYY TUJIUNGE NA WADHAMINI WETU HARD TALK YA bbc
 
Back
Top Bottom