Mbona yeye ni huko huko kagera na kaamuaa kuhamia ccm. Anajua undani kwamba 2020 cdm itakuwa imefutika.Poor timing na maamuzi ya kipuuzi sana, kwa kauli ya Magu kwenye majanga ya tetemeko ni wazi kuwa mwaka 2020 mkoa mzima wa Kagera utakuwa chini ya UKAWA
Hujui usemalo........ Kwa taarifa yako hata hilo jimbo CHADEMA ilishinda mwaka 2015 ila ukafanyika ujecha mwingi sana.....Mbona yeye ni huko huko kagera na kaamuaa kuhamia ccm. Anajua undani kwamba 2020 cdm itakuwa imefutika.
Ndiyo kauli zenu za kulia lia tumewazoea. Mahakama ikiwapa ushindi hiyo ilikuwa ni huru na haki mkishindwa mmeonewa!!!Hujui usemalo........ Kwa taarifa yako hata hilo jimbo CHADEMA ilishinda mwaka 2015 ila ukafanyika ujecha mwingi sana.....
Pesa Za ruzuku na za wafadhili wa ndani na nje huwa mnapeleka wapi nyie chadema kiasi kuwa mnapanga uswahilini nyumba ya vyumba vinne choo cha nje kama ofisi ya makao makuu chadema wezi wakubwa nyie ?CCM ni chama cha MAJIZI kahamia kchama cha MAJIZI CCM
SIFA kuu ya kujiunga na CCM ni Lazima uwe Mbulula wa mawazo kama hayaPesa Za ruzuku na za wafadhili wa ndani na nje huwa mnapeleka wapi nyie chadema kiasi kuwa mnapanga uswahilini nyumba ya vyumba vinne choo cha nje kama ofisi ya makao makuu chadema wezi wakubwa nyie ?
Kama wwapinzani wataendelea na ujinga huu, wananchi watapoteza imani nao na hawataiona Ikulu.Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kyerwa(TLP) na mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo hilo mwaka 2015 kupitia CHADEMA, Ndg. Benedicto Mutungirehi amekihama Chama hicho na kuingia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mutungirehi amekabidhi kadi ya CHADEMA na kupokea kadi ya Chama Cha Mapinduzi CCM mjini Kayanga wilayani Karagwe.
Mbunge huyo wa zamani wa Kyerwa ametoa hotuba yake baada ya kukabidhiwa kadi ya Chama chake kipya.
Ni mkateAliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kyerwa(TLP) na mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo hilo mwaka 2015 kupitia CHADEMA, Ndg. Benedicto Mutungirehi amekihama Chama hicho na kuingia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mutungirehi amekabidhi kadi ya CHADEMA na kupokea kadi ya Chama Cha Mapinduzi CCM mjini Kayanga wilayani Karagwe.
Mbunge huyo wa zamani wa Kyerwa ametoa hotuba yake baada ya kukabidhiwa kadi ya Chama chake kipya.
Huyu jamaa katika bunge la 2000~2005 alikuwa kichwa sana
Na ww ubaki tu huko!!!Aende tu huko!
Ova
Wewe ushakatwa tako bila kujua.. HahahahahahaaaaaAcha akatwe mkia.
Wewe ambaye si traitor uliwahi hata kuwa kiranja wa darasa....stop spitting nonsrnse...you just a mediocre ...this is how zombies think... Polee nduguMtungirehi "the traitor". Kwa wale wa UDSM miaka ile wakati jamaa alikuwa rais wa DARUSO hatashangaa jamaa kuruka chama hadi chama. Alikuwa CCM, kahamia NCCR, baadaye CDM, now back to CCM.
Anyway namkumbuka alivyokung'utwa pale Nkurumah na majamaa ya FOE kwa utraitor wake. Wacha akatwe mkia kwanza.
Ww usiye na njaaa nani anakujua??? Kuna mtu aliwahi kuja kuomba shibe yako.??? HahahahaaaaNjaa mbaya sana
Inayolipa ni ya kushinda jf mnapiga miayo na hekaya za abunwasi ??? Miaka mitano baadae unaanza kulia umaskini.... Wake up kabla haujamaskinika ..hahahahhaaHii biashara kwa sasa hailipi!
Tell us your value.. We will score you rightly...You are too low compare yourself with BENEDICTO MUTUNGIREHI. Go back to square one and evaluate your thinking before spitting out such a shitshameful for a graduate to reduce his status to a disreputable one of a vagabond