Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

Kwa maana nyingine watu wanaenda kule wanakohisi watapata either baada ya kukosa au kule kuhisi tu watakosa.

Nafikiri watu wanaangalia matumbo yao kwanza
Huo ndio ukweli mengine yote mbwembwe na kujitoa ufahamu.
 
haki yake
Chadema wamechanganyikiwa wema sepetu akienda chadema wanasema haki yake lakini mtu akitoka chadema kuhamia chama kingine wanatoka mipovu ohhhh njaa hajitambui sijui nini! Be consistent mnasimamia nini nyie vibaka wa chadema mnaojiita chama cha demokrasia? Mtu akihama chama kwenda chama kingine ana exercise uhuru wake wa demokrasia au Hapana? Chadema nyie matapeli you call yourself democratic while you are not you are Just political conmen
 
Chadema wamechanganyikiwa wema sepetu akienda chadema wanasema haki yake lakini mtu akitoka chadema kuhamia chama kingine wanatoka mipovu ohhhh njaa hajitambui sijui nini! Be consistent mnasimamia nini nyie vibaka wa chadema mnaojiita chama cha demokrasia? Mtu akihama chama kwenda chama kingine ana exercise uhuru wake wa demokrasia au Hapana?
mkuu huyu jamaa ni kichwa balaa, CCM mmepata jembe la kuwaongoza.
 
Mtingirehu hujielewi na hutowahi kuingia bungeni mwaka juzi chadema tulikuunga mkono leo unaenda ccm kisa njaa. Naamini sana wananchi wa jimbono kwangu ni upinzani mwanza mwisho kura walikupa zikaibiwa leo njaa inakudanganya?

Una njaa gani una mi ng'ombe yote ile aiiiiiiiiiiiiiii wayeshwaza, jendakuli nzabandola numwanaa wumunyarwanda bureeeeee kabisa
 
Mtungirehi "the traitor". Kwa wale wa UDSM miaka ile wakati jamaa alikuwa rais wa DARUSO hatashangaa jamaa kuruka chama hadi chama. Alikuwa CCM, kahamia NCCR, baadaye CDM, now back to CCM.

Anyway namkumbuka alivyokung'utwa pale Nkurumah na majamaa ya FOE kwa utraitor wake. Wacha akatwe mkia kwanza.
Umenikumbusha mbali sana... asante mkuu
 
Chadema wamechanganyikiwa wema sepetu akienda chadema wanasema haki yake lakini mtu akitoka chadema kuhamia chama kingine wanatoka mipovu ohhhh njaa hajitambui sijui nini! Be consistent mnasimamia nini nyie vibaka wa chadema mnaojiita chama cha demokrasia? Mtu akihama chama kwenda chama kingine ana exercise uhuru wake wa demokrasia au Hapana? Chadema nyie matapeli you call yourself democratic while you are not you are Just political conmen

CCM ni chama cha MAJIZI kahamia chama cha MAJIZI CCM
 
Huwezi Kuongozwa na Akili Ndogo
nawe ni Akili kubwa,
Yaani mtu Katoka chuo kikuu
aje ampigie Goti 4m four ZIRO!!
 
Pole zake. Ingelikuwa ni ccm kahamia UKAWA ungelisikia mitusi ambayo ingemwagwa kwake. Kwa kuwa ni mwenye akili ameamua kujidhalilisha mwenyewe, huyu sio oil chafu. Its a pity
 
Baada ya kugaragazwa mahakamani njaa ya tumbo mbaya sana ..Ukweli jamaa alishinda vizuri ila figisufigisu ndozikamuangusha nyinyiem wakamlaza kapambana marufaa mara mahakamni ngoma ikawa ngumu...sasa yeye anataka kuwa mbunge kaona njia nyingine ni kurudi ccm sasa kwa taarifa ubunge 2020 hupati tutampa mbunge wa chadema.
2020 sidhani kama kutakuwa na chama kinaitwa cdm.
 
Hovyo kweli huyo.Tulimpiga mangumi 1994 UDSM ukumbi wa Nkrumah hadi chuo kikafungwa.Alikuwa Rais wa Daruso wakati huo akawa anatusaliti tukiwa tunapinga kuanzishwa haya mambo ya mikopo a.k.a Cost sharing.Mikopo ikapita,hadi leo tunaona kinachoendelea kwenye mikopo ya Elimu ya juu.
 
Mkuu jambo usilolijua ni vema kukaa kimya ukaelimishwa, huwezi kujua kila kitu. Huyu jamaa aliwahi kuwa mbunge kupitia TLP na 2015 aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA akakosa na sasa ameamua kuhamia CCM labda anaitazama 2020 ajaribu ubunge kwenye hilo jimbo kwa tiketi ya CCM. Sasa huyo jamaa unapomwambia aache unini sijui, wapi kosa lake. Wewe ndo hujui.
Athali za viloba hiyo mkuu. Msamehe bure.
 
Back
Top Bottom