KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,335
Baada ya kugaragazwa mahakamani njaa ya tumbo mbaya sana ..Ukweli jamaa alishinda vizuri ila figisufigisu ndozikamuangusha nyinyiem wakamlaza kapambana marufaa mara mahakamni ngoma ikawa ngumu...sasa yeye anataka kuwa mbunge kaona njia nyingine ni kurudi ccm sasa kwa taarifa ubunge 2020 hupati tutampa mbunge wa chadema.