Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

72532bc653d9891a56fdc26a9d569cd4.jpg
Aliye wahi kuwa Mbunge wa Jimbo la uchaguzi Kyerwa mkoani Kagera kupitia chama cha Tanzania Labor Party na mgombea wa ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA Ndugu Benedict Mutungirehi amehama chama rasmi na kujiunga na chama cha mapinduzi.
 
72532bc653d9891a56fdc26a9d569cd4.jpg
Aliye wahi kuwa Mbunge wa Jimbo la uchaguzi Kyerwa mkoani Kagera kupitia chama cha Tanzania Labor Party na mgombea wa ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA Ndugu Benedict Mutungirehi amehama chama rasmi na kujiunga na chama cha mapinduzi.
Amekaa kipombepombe
 
Siasa si asa bali visa na mikasa.

Kama Yale ya kaburu wa pale kigoma. Siasa ni ya kuacha tu.
 
shameful for a graduate to reduce his status to a disreputable one of a vagabond
 
Hebu fanya marekebisho kidogo kwenye heading yako. Bwana Benedicto Mutungirehi hakuwahi kuwa mbunge kwa tiketi ya chadema, bali mbunge wa TLP ya Lyatonga Mlema kabla ya mwaka 2015 kuhamia na kugombea kwa tiketi ya chadema.
Asante mkuu.. mods washaweka sawa. UBARIKIWE!
 
Hapa Chadema lazima mjifunze kuhusu upokeaji wa haya makapi dakika za mwishoni na kuwaacha wafia chama.Kwenye jimbo hili la Kyerwa alikuwepo mpambanaji mzuri sana 2015 Kamanda Ntareyeguru ajabu akaachwa na kupewa Mutungirehi.Yametokea Kishapu kwa Mpendazoe,yametokea Singida kwa Msindai.Na yametokea sehemu zingine.Hatutaki yajirudie tena chaguzi zijazo.
 
Wakati wewe unahangaika na vichwa vya habari watu wapo kwenye ujenzi wa treni ya umeme kutoka Dar mpaka Moro halafu kutoka Moro mpaka Mwanza.

Kwa akili kama hizi ni lazima 2020 mumlaumu mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.
Huku mahosipitalini watu wanakufa bila dawa pool you



Swissme
 
TUJULISHE ELIMU YAKE NA CV ILI TUFIKIE SUBSTANTIVE CONCLUSION
 
Back
Top Bottom