mbikagani
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 3,107
- 1,782
NI MAAMUZI YAKE NA NI HAKI YAKE KIKATIBA.Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kyerwa(TLP) na mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo hilo mwaka 2015 kupitia CHADEMA, Ndg. Benedicto Mutungirehi amekihama Chama hicho na kuingia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mutungirehi amekabidhi kadi ya CHADEMA na kupokea kadi ya Chama Cha Mapinduzi CCM mjini Kayanga wilayani Karagwe.
Mbunge huyo wa zamani wa Kyerwa ametoa hotuba yake baada ya kukabidhiwa kadi ya Chama chake kipya.
LAKINI SI MAAMUZI MAZURI KWA MTETEA WANYONGE.