Hahaha duh.wanaimba bila beat ujue.ni makofi tuuMwenye audio ya ilo songi atupie basi na sie tusikie
Timba siku moja uwarekodi utupie sitajali quality ya audio mkuu
Yule mama aliefungiwa Huduma mfalme Zumaridi kwa mbwembwe nyingi za vyombo vya ulinzi mbona mmemruhusu sasa kufanya Huduma pasipo manjonjo kama mlivyofanya pindi ile? Alikuwa kakosea nini?
Tofauti yake na hawa mitume na manabii wanaouza maji na chumvi kama yeye iko wapi??mbona hamuwakamati nao?
Mimi naishi Jirani na huyu mama Zumaridi, wakati wamefungiwa hata kusali walikuwa hawasali, sasa wamefunguliwa kelele mwendo mdundo.yani toka SAA nane waimba kale ka wimbo "benderaaaa ya zumaridiiii sasaaa INA pepeaaa...sasa INA pepeaaaa pepeaaaaa"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeonaNasikia kuna sekeseke limetokea huko kwa zumaridi juzi tarehe 23/2/2022..
Jirani yake tujuze
Mwenye audio ya ilo songi atupie basi na sie tusikie
Kwani bado anakula vichwa vya wajinga si alifungiwa huyu kahaba mkuu wa machukizo anaeabudiwa na wapumbavu.Nasikia kuna sekeseke limetokea huko kwa zumaridi juzi tarehe 23/2/2022..
Jirani yake tujuze
Kaa kushoto
Sio mazombi kweli haoHii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona
Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona
Oi muache mfalme wetu banaYule mfalme anavyovaa suruali zimembana basi msabwanda nao huo,mpapuchi anauwamba mpaka unajichora.
Ni kwamba wanaabudu bendera?Yule mama aliefungiwa Huduma mfalme Zumaridi kwa mbwembwe nyingi za vyombo vya ulinzi mbona mmemruhusu sasa kufanya Huduma pasipo manjonjo kama mlivyofanya pindi ile? Alikuwa kakosea nini?
Tofauti yake na hawa mitume na manabii wanaouza maji na chumvi kama yeye iko wapi??mbona hamuwakamati nao?
Mimi naishi Jirani na huyu mama Zumaridi, wakati wamefungiwa hata kusali walikuwa hawasali, sasa wamefunguliwa kelele mwendo mdundo.yani toka SAA nane waimba kale ka wimbo "benderaaaa ya zumaridiiii sasaaa INA pepeaaa...sasa INA pepeaaaa pepeaaaaa"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa, nilidhani Kuna wanawake na watoto tuu, kumbe Hadi wanaume kabisaaa wamo!Mungu wetu na mfalme Zumaridi chapa injili watu wajue wewe ndie mkombozi wa tumbo lako,wajinga hawataisha Mpaka kiama
Eboooooo!