Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Kisheria Au katika paspective ya Private international law hii inamaanisha Mgeni toka eg londo anaweza kuaply law ya nchi yake.
BENDERA ZINAZOWEKWA KWENYE HOTEL NA HASA ZILE ZA NYOTA ZA JUU KABISA, ZILE BENDERA ZINAONESHA KUWA HIYO HOTEL INAPATIKANA HATA KWENYE NCHI YA BENDERA HUSIKA. KWA MFANO UKIONA NJE YA HOTEL KUNA BENDERA YA S.A, USA, KENYA,UK,FRANCE,GERMAN INAMAANA HIYO HOTEL INAPATIKANA HATA KWENYE HIZO NCHI ZINAZOPEPERUSHA BENDERA ZAO NJE YA HIYO HOTEL. HIYO INARAHISISHA HATA KWA WATEJA KUFAHAMU KIRAHISI MATAWI YA HIYO HOTEL NJE YA NCHI. UKIONA NJE KUNA BENDERA 3 INAMAANA HIYO HOTEL INA MATAWI MA3 AU NAYO NI MOJA YA TAWI NA MAKAO MAKUU YANAPATIKANA MOJA KTK NCHI YA BENDERA. ZINAZOPEPERUSHA.
Hata makanisa ni hivyo inamaana hilo kanisa linauhusiano na nchi inayopeperusha hiyo bendera.
NIJUAVYO MIMI HAKUNA KITU AU JAMBO LINALOWEKWA MAHALI PASIPO KUWA NA MAANA YAKE,JAPO HAIJALISHI KAMA HIYO MAANA NI YA MUHIMU AU LA.
Mmmnh kama hivyo ndivyo basi hotel zingine wanaweka hizo bendera bila kujua maana yake; siamini Kama Lake Tanganyika beach hotel ipo na USA na SA!
nnunu!! exellent! namaanisha umeongea exactly maana ya hizo bendera! Mtambuzi tambo zooote!
Mahoteli kupeperusha bendera za mataifa mbalimbali maana yake nikukujulisha kuwa raia kutoka nchi husika ambazo unaona bendera zao zinapeperushwa kwenye hiyo hoteli wamefikia hapo au kwa maana nyingine hoteli husika wana wageni kutoka nchi ambazo unaona bendera ziko nje ya hoteli
Hakuna hizo Hoteli hapa Tanzania.