Benard Membe asema wenzetu afrika mashariki wametutenga!

Benard Membe asema wenzetu afrika mashariki wametutenga!

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,948
Reaction score
9,464
Waziri wa mambo ya Nje Mh Benard Membe anafafanua wazi kuwa Wenzetu tayari wameisha tutenga!anafafanua kwenye Channel ten now Live!

=========================UPDATE FOLLOWING==============================
 
We can make it without them... Chema chajiuza....
 
Naomba ufafanuzi kwa kina.sababu kuu ni nini?
Amesema kuwa kwanza Tanzania ndiyo Central gravity of EAC hivyo wenzetu wanaona wivu,na wengine wanachukia sisi kupeleka majeshi yetu kule DRC na kutoa kichapo!

We can make it without them... Chema chajiuza....
Na akasema Tanzania inaweza bila nchi tatu ila wao hawawezi bila Tanzania!
 
mkuu tupe habari nini wanawaza hao viongozi wetu.
 
Amesema kuwa kwanza Tanzania ndiyo Central gravity of EAC hivyo wenzetu wanaona wivu,na wengine wanachukia sisi kupeleka majeshi yetu kule DRC na kutoa kichapo!

Na akasema Tanzania inaweza bila nchi tatu ila wao hawawezi bila Tanzania!

Sababu za kipumbafu kabisa hizi
 
Amesema kuwa kwanza Tanzania ndiyo Central gravity of EAC hivyo wenzetu wanaona wivu,na wengine wanachukia sisi kupeleka majeshi yetu kule DRC na kutoa kichapo!

Na akasema Tanzania inaweza bila nchi tatu ila wao hawawezi bila Tanzania!

Kama ndo hivo analalamika nini sasa..upuuzi mtupu
 
Its not true tupo central geographically lakini in developed and decision making tupo kando sana.we lack policies e.g our education system changes over night.we shd ask our selfs what makes our neighbors sh strong but not compln
 
Nimemsikia...ila nina mashaka na uzito wa hoja zake. Kimsingi ame affirm kwamba wenzetu "HAWATUTAKI" hata tufanyeje
 
Acha us*n*e, ambaye hapwai nani Kagame au M7? Kagame kumtukana raisi wa nchi ya wenzake ndo anajua Diplomat!!
Hatuhitaji kushirikiana na watu wa staili ya Rwanda, Uganda wala Kenya. Tujitoe EAC, kwanza ilibidi tujitoe mda tu ila nafikiri politician wetu ndo walikuwa wanawabeba hawa fitna ila kwa sasa hata politicians wetu wameshaona jamaa hawabebeki na wasifanye kosa la kuchelewa kujitoa, ni kufanya tathmin ya chapchap kuona hatupotezi mali zetu na kama kuna mambo ya kisheria yanayohitaji kuwekwa sawa then kujitoa. Baada ya hapo we need to have plan B na ipo ambayo ni SADC na of course kuongeza ushirikiano wa kimkakati na DRC pamoja na Burundi.
Kujenga Reli ya kati na Tazara kwa viwango vya kisasa na kuhakikisha zinakuwa full operational, treni za abiria na mizigo ziwe zinasafiri kwa wingi kwa hiyo ita stimlate uchumi na hata hao wanafiki watakuja wenyewe kutumia mbiundombinu yetu hawana lolote wana njaa tuu.
Mifano ya njaa zao iko wazi, wa karibu kabisa ni huu wa wahamiaji haramu wanafukuzwa lakini still wanarudi maana yake kwao hakukaliki, pili kuna wanyarwanda, waganda wengi tu wamenufaika na education system ya TZ (mfano Raisi wa Uganda amesomeshwa hapa bongo na kupewa mafunzo na hata kusaidiwa kwenda uganda Kuchukua nchi) the same applies to Kagame! Kagame na Museven ni mifano ya nchi zao kuwa zina njaa na wamenufaika kupitia rasilimali za TZ na msaada wa TZ. Kwa hiyo sisi tujenge na kuboresha reli na Bandari zetu ziwe na ufanisi wa juu sana hawa jamaa fitna watakuja tu mana wana njaa na washazoea kudoea rasilimali zetu bila aibu watakuja.
Na sisi tuna rasilimali rai yangu tujenge reli zetu, tununue mabehewa na vichwa vya treni bila kuwashirikisha p*m*a*u kabisa hawa





Membe kwenye masuala ya diplomat anapwaya saaana...
 
Mi mbona sielewi ,kutengwa vipi?kwa taarifa zilizopo Tanzania ,Rwanda na Uganda wana mradi wa pamoja wa umeme (Rusumo Hydroelectric dam) katika mto kagera unaofadhiliwa na Benki ya dunia ambapo wametoa $340m,mradi huu unakadiriwa kukamilika mnamo mwaka 2020.
Sasa tunatengwa vipi wakti tumo kwenye miradi mikubwa ya region? Membe na viongozi wenzake watuambie nini kinaendelea ,isije ikawa wanayakoroga hovyo hovyo ndio maana mabinamu wanatukimbia(kama kweli).waseme bhana!
 
.....tusiwe kama wale wahubiri wa mihadhara ambao huchukua kakipande kadogo na kufanya kuwa hoja ya msingi na kuacha mengi ambayo ndo msingi zaidi, kwa aliyetazama kipindi hicho Membe ameongea kwa kina na kwa mapana......sikuwahi kudhani kama Membe ana weledi kiasi kile.....hebu wale waliotazama kipindi hicho waeleze hasa yaliyosemwa na si kuchangia pasipo kujua kilichoongelewa
 
Back
Top Bottom