MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Jamani wanaJF ni vyema tukajadili kwa hoja na wala siyo jazba. Kuna mtu anasema anamfahamu huyu mama ya kuwa ni mchapakazi hodari kwa hiyo anastahili tuzo na kuna wengine wanasema hastahili ila hawatoi hoja wanasema ni kada wa CCM. Hapa weredi uko wapi? Hatupingani kwa hoja ila kwa hisia kwa kuwa tu huyu mama amepinga elimu ya bure kama ilivyopendekezwa na CHADEMA? Tujuilize ili tuweze kujadili kwa uungwanga: NANI ANATEUA MFANYAKAZI BORA? Kama ni CCM basi huyu mama atakuwa nalipwa fadhila lakini kama si CCM ni kwa nini tusikubali kuwa ni mfanyakazi hodari na wafanyakazi wenzake (ambao baadhi yao ni wa CHADEMA: Huenda ni wengi kwa kuwa Moshi ni ngome ya CHADEMA) wameona hivyo na kuamua kumpa ufanyakazi hodari? JAZIBA NA KUKOSA UEREDI KUTAINYAKUA HESHIMA YA JAMII FORUM
Hakuna jazba hapa mkuu kwani tunaongea na data ambazo ni reliable na Valid. Elewa huyu mama ni mwajiriwa wa TAMISENI na inawezekana amependekezwa huko huko TAMISENI na inawezekana TAMISENI wamempa zawadi kwa jinsi anavyo battle na CHADEMA hapo Manispaa ya Moshi.