fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Huyu mama ni makini sana kikazi na mfuatiliaji wa sheria, anaijua kazi yake kikamilifu, muda simrefu atakuwa RAS.
Madiwani wa CDM tatizo lao ni cheap popularity pasipo kujali taratibu na sera ya elimu ya nchi inasemaje!
Haihitaji kuwa ccm kujua sera ya nchi inasemaje kwenye elimu, sote tunajua kwamba hata kama huna uwezo kuchangia elimu ni lazima.. hiyo ndio sera na ndiyo aliyoisimamia, sasa sijui sera ya misamaha ya kodi unaichukuliaje.. wanasamehewa mabilioni wenye uwezo wa kulipa kodi na kisha kuwabana wafanyakazi na wafanyabiashara wadogo kulipa kodi tena kwa kuwaumiza.
cheap popularity ni kutetea wananchi, nao ndio wanaojua u-popular wa wale wanaowatetea au kuwakandamiza