Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kuna mtu yeyote anayemjua muhasibu huyu? Niko kwenye process ya kuconnect the dots na jinsi gani anahusiana na mtu yeyote in power? au anayejua hiyo kampuni ya Khatco?
Kuna mtu yeyote anayemjua muhasibu huyu? Niko kwenye process ya kuconnect the dots na jinsi gani anahusiana na mtu yeyote in power? au anayejua hiyo kampuni ya Khatco?
Kuna mtu yeyote anayemjua muhasibu huyu? Niko kwenye process ya kuconnect the dots na jinsi gani anahusiana na mtu yeyote in power? au anayejua hiyo kampuni ya Khatco?
well.. sijapata jibu la kuridhisha..
mmmh, mzee hujapata jibu la kuridhisha au unalolitaka?
ni swali tu
Sijapata jibu ninalolitaka ambalo ni la kuridhisha.
Mi ninamfahamu sana ila ni mshkaji siwezi kutoa habari zake. Nitamshauri aje humu mwenyewe!