ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
We binti weweVITABU VYA MAREHEMU MTOBWA SASA VINAPATIKANA. KWA MUHITAJI APIGE SIMU NAMBA 0763044459 AU 0712077763
We binti weweVITABU VYA MAREHEMU MTOBWA SASA VINAPATIKANA. KWA MUHITAJI APIGE SIMU NAMBA 0763044459 AU 0712077763
za masiku? had nimekumicWe binti wewe
Joram kiango na prosper kwenye salam toka kuzimu.wily Gamba koffi na ozu katika kikosi cha kisasi akiwemo mrembo tete na mwadi bila kuwasahau kundi la magaidi waliokuwa na garage kina papa muteba na maxR.I.P alikuwa akikimbizana na ELVIS MUSIBA kwa kutunga hadidhi za kusisimua za kipelelezi....nilizipenda sana hadidhi zao...na kila mara wakati nasoma nilisubiri vitabu vyao vipya.......huwezi kumfananisha hawa na watungaji wa sasa kina shigongo ..ambao wana copy and paste!!!....mnawakumbuka ma sterling wa mtobwa na musiba??
""mgeni mwenye miwani myeusi...""Duh.. this is very sad..
Nimesome hadithi zake nyingi sana na vitabu vyake na kwa hakika ni miongoni mwa watu ambao kupitia kazi zao walinishawishi sana kuanza kuandika hadithi.
Nakumbuka:
Malaika wa Shetani
Tutarudi na Roho zetu
Salam toka Kuzimu
Dar-es-Salaam Usiku
Najisikia Kuua Tena
N.k kwa kweli nitamiss sana kazi zake. I need to get a collection of his books.
RIP patner..!
Elvis nadhani yupo haiSIMANZI SANA: Kapumzike Beny, wewe na mwenzako Elvis mlinifanya niamini mlikuwa mnaandika mliyoyashudia kumbe ni mawazo yenu mliyatafsiri katika uhalisia fikirishi. Mlitufanya vijana wa kipindi hicho tufikirie uzalendo juu ya nchi yetu. Mlitufanya tutamani kuwa wapelelezi japo hatukujua hatua za kupitia, tuliwaona characters wenu kama watu halisi walioishi na tukatamani kuwa kama Joramu Kiango na Willy Gamba. Nitawakumbuka daima kama waandishi mahili mliojitoa kutetea nchi yenu kwa kuwahamasisha vijana kuwa wazalendo kupitia riwaya zenu. Nina huzuni juu yako Beny lakini nafarijika kwa sababu ulitimiza vema wajibu wako. Ulitumia kwa manufaa ya wote kipaji ulichojaliwa na muumba wako, hukuwa mchoyo, ulitugawia weledi wako kupitia vitabu vyako. NENDA BENY, MSALIMIE ELVIS, mwambie kuna watu umewaacha hai ambao hawatasahau Kazi zenu zilizotukuka.
Naye amekufa tayariElvis nadhani yupo hai