mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 371
- 971
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Songea Boys,Iyunga na Mkwawa kwa vipindi tofauti S.S.Mbao amefariki dunia.
Wadau mliopita mikononi mwa Mbao katika Shule hizo imenipendeza kuwajuza.
Apumzike kwa amani S.S.Mbao
Wadau mliopita mikononi mwa Mbao katika Shule hizo imenipendeza kuwajuza.
Apumzike kwa amani S.S.Mbao