MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,257
- 22,049
Nashukuru sana ngoja nichukue maelezo nitakuwa nawaambia ninao taka wawe wapenzi wangu kuwa nitwanunulia hiki chakula ,kwa walivyo walimbwende wa Tanzania kati ya kumi nitamkosa mmoja tu asiyetayari kujaribu vitamu