Believe: JPM is on the way. (Amini: JPM yupo njiani)

Believe: JPM is on the way. (Amini: JPM yupo njiani)

b191

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
742
Reaction score
1,032
Habari wanajamvi,

Napenda muamini ndugu zangu, Mh. JPM yupo njiani kuwatumbua Mh Mwakyembe na Mh Nchema.

Issue ya KIBITI itamsogeza Mh Nchema pembeni na issue ya MAKONTENA itamsogeza Mh Mwakyembe pembeni.

Muda ni Mwalimu Mzuri, tuvute tu subira.
 
Habari wanajamvi,

Napenda muamini ndugu zangu, Mh. JPM yupo njiani kuwatumbua Mh Mwakyembe na Mh Nchema.

Issue ya KIBITI itamsogeza Mh Nchema pembeni na issue ya MAKONTENA itamsogeza Mh Mwakyembe pembeni.

Muda ni Mwalimu Mzuri, tuvute tu subira.
Illusions!
 
Tutaandamana Kumpongeza Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli Kwa Kazi Nzuri Sana
Awatumbue Tu
 
Huyo Mwakyembe hata hivyo wamemchelewesha sana
 
Habari wanajamvi,

Napenda muamini ndugu zangu, Mh. JPM yupo njiani kuwatumbua Mh Mwakyembe na Mh Nchema.

Issue ya KIBITI itamsogeza Mh Nchema pembeni na issue ya MAKONTENA itamsogeza Mh Mwakyembe pembeni.

Muda ni Mwalimu Mzuri, tuvute tu subira.
Waziri wa utamaduni na michezo (Mwakyembe) na makontena ni wapi na wapi ?? Au mimi niko nyuma ya muda ??
 
Kwa Mwakyembe sawa ila Mwigulu bado sijaona mapungufu yake.!
 
Habari wanajamvi,

Napenda muamini ndugu zangu, Mh. JPM yupo njiani kuwatumbua Mh Mwakyembe na Mh Nchema.

Issue ya KIBITI itamsogeza Mh Nchema pembeni na issue ya MAKONTENA itamsogeza Mh Mwakyembe pembeni.

Muda ni Mwalimu Mzuri, tuvute tu subira.
Hata akijitumbua Mwenyewe bomba tu
 
Waziri wa utamaduni na michezo (Mwakyembe) na makontena ni wapi na wapi ?? Au mimi niko nyuma ya muda ??
Mkuu umekosea nenda jukwaa la celebrity.
 
Just stay tune...
rafiki hakuna kitu kama hicho. trend hakuna aliyefukuzwa kwa kuharibu kazi. kitwanga ulevi??? . Hawa uliowasema wako smart sana kwa kujikomba na kusifia, wamefika maana wamemsoma mkubwa
 
Ngoja tuone .....yetu macho tu

OvA
 
Back
Top Bottom