Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Bei ya maji kwa Dar es Salaam ni Tsh. 1,663 kwa Unit moja(1) ambayo ni sawa Lita 1000 za maji, yaani Madumu 50 makubwa ya Lita ishirini.
Wapangaji wengi wakiamia kwenye Nyumba za kupanga za kushare maji au kulipiwa na mwenye Nyumba unakuta anaambiwa alipie Tsh. 15,000 hadi Tsh. 30,00 kwa mwezi. Tuafanye Tsh. 30,000 ambayo ni sawa na Unit 18, yaani lita 18,000 za maji sawa na Madumu 900 ya maji ya lita 20.
Kiwango hichi ni kikubwa kwa matumizi ya kawaida ya nyumban, ni sawa na maji ya mahoteli, guest, bar na migahawa mikubwa tena kuna muda inakuwa Chini ya hapo. Ila wewe mpangaji unalipia bila kufikiria.
Mamlaka ya Maji Imekaa Kimya katika hili wakati walipaswa kuwa mstari wa mbele kutetea wananchi katika suala hili la maji. Maji yamekuwa ni Biashara na sio Huduma tena.
Wapangaji wanaumia sana na hii hali ya Gharama za maji katika nyumba za kupanga. DAWASA tamisemi Saidie hili litokomwezwe, hii ni Utakatishaji Fedha kwa wananchi wa hali ya Chini.
Wapangaji wengi wakiamia kwenye Nyumba za kupanga za kushare maji au kulipiwa na mwenye Nyumba unakuta anaambiwa alipie Tsh. 15,000 hadi Tsh. 30,00 kwa mwezi. Tuafanye Tsh. 30,000 ambayo ni sawa na Unit 18, yaani lita 18,000 za maji sawa na Madumu 900 ya maji ya lita 20.
Kiwango hichi ni kikubwa kwa matumizi ya kawaida ya nyumban, ni sawa na maji ya mahoteli, guest, bar na migahawa mikubwa tena kuna muda inakuwa Chini ya hapo. Ila wewe mpangaji unalipia bila kufikiria.
Mamlaka ya Maji Imekaa Kimya katika hili wakati walipaswa kuwa mstari wa mbele kutetea wananchi katika suala hili la maji. Maji yamekuwa ni Biashara na sio Huduma tena.
Wapangaji wanaumia sana na hii hali ya Gharama za maji katika nyumba za kupanga. DAWASA tamisemi Saidie hili litokomwezwe, hii ni Utakatishaji Fedha kwa wananchi wa hali ya Chini.