Bei za magari

Dodoma moja

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
307
177
Wakuu poleni na majukumu, leo niliingia mtandaoni kidogo kucheki magari ambapo nimepitia kampuni mbalimbali za uuzaji magari lakini katika kampuni zote kuna kampuni moja "Autocom Japan" naona bei zao ziko cheap sana hadi nikashangaa labda magari yao yana shida maana variation na kampuni nyingine ni kubwa

Hali kadhalika nikaingia kwenye kikokotoo cha TRA nione hadi gari inafika bongo itacost kiasi gani then nikalinganisha na price kwenye show room zetu au kuagiza kupitia makampuni ya uagizaji kitu nilichokigundua ukiagiza mwenyewe price inashuka sana kuna gari unapata different ya milioni 5 nikasema hii hapana labda nakosea ngoja niwaulize wadau wa mandinga kuona kama ni kweli different iko hivyo.

Pia nimegundua kama gari ni ya miaka ya zamani let say 2010 kodi yake TRA ni kubwa kuliko gari ya 2011 au 2012.

Lakini kama ni kweli why watu hawaagizi wenyewe wana opt kununua show room au kuagiza kupitia kampuni wakati price variations ni kubwa coz kama unaweza ku save not less than 3M why usiagize? Na bado hapo hujafanya bergaining na kampuni husika

Soon nitaagiza gari yangu pendwa "Subaru Forester SH5" maana kwa bajeti niliyokuwa nayo niliona kama sitoboi lakini baada ya leo kujipa muda wa kupitia kampuni mbalimbali za magari na kikokotoo nimeona nipo ndani ya bajeti

Nawasilisha.
 
Agiza subaru yako mkuu,ila itunze sana hiyo picha utakayoiona ONLINE maana unaweza jikuta presha hii hapa na hujawahi kuwa na presha baada ya gari kufika na kwenda kuiona Subaru yako ni ile ile kwenye picha ila itakua imekuvunja moyo kwa 90% kwa muonekano na hali itakayokua nayo.

Gari ya 1 usiagize mwenyewe,ni ushauri tu Dont risk hela enyewe ndio hiyo hiyo.
 
Wakuu poleni na majukumu, leo niliingia mtandaoni kidogo kucheki magari ambapo nimepitia kampuni mbalimbali za uuzaji magari lakini katika kampuni zote kuna kampuni moja "Autocom Japan" naona bei zao ziko cheap sana hadi nikashangaa labda magari yao yana shida maana variation na kampuni nyingine ni kubwa

Hali kadhalika nikaingia kwenye kikokotoo cha TRA nione hadi gari inafika bongo itacost kiasi gani then nikalinganisha na price kwenye show room zetu au kuagiza kupitia makampuni ya uagizaji kitu nilichokigundua ukiagiza mwenyewe price inashuka sana kuna gari unapata different ya milioni 5 nikasema hii hapana labda nakosea ngoja niwaulize wadau wa mandinga kuona kama ni kweli different iko hivyo.

Pia nimegundua kama gari ni ya miaka ya zamani let say 2010 kodi yake TRA ni kubwa kuliko gari ya 2011 au 2012.

Lakini kama ni kweli why watu hawaagizi wenyewe wana opt kununua show room au kuagiza kupitia kampuni wakati price variations ni kubwa coz kama unaweza ku save not less than 3M why usiagize? Na bado hapo hujafanya bergaining na kampuni husika

Soon nitaagiza gari yangu pendwa "Subaru Forester SH5" maana kwa bajeti niliyokuwa nayo niliona kama sitoboi lakini baada ya leo kujipa muda wa kupitia kampuni mbalimbali za magari na kikokotoo nimeona nipo ndani ya bajeti

Nawasilisha.

M nmeagiza mwenyewe nmesave karibu 4M

Nakushauri tu,acha uoga mifumo iko very secured
Kama ukiamua kuagiza mwenyewe usiweke mtu kati

Lipa mwenyewe bank kila kitu
Ikifika wacheki clearing agent Trimex company
Wakutolew gari unawalipa laki 2 zao gharama zingine zote lipa mwenyewe wakutumie tu control number!

NOTE:mimi nliagiza SBT nlipokea gari in excellent condition hata mimi sikutarajia pia ilikuja na service card+mafuta nusu tank ya kuanzia🥹

Mpaka leo haijasumbua
 
M nmeagiza mwenyewe nmesave karibu 4M

Nakushauri tu,acha uoga mifumo iko very secured
Kama ukiamua kuagiza mwenyewe usiweke mtu kati

Lipa mwenyewe bank kila kitu
Ikifika wacheki clearing agent Trimex company
Wakutolew gari unawalipa laki 2 zao gharama zingine zote lipa mwenyewe wakutumie tu control number!

NOTE:mimi nliagiza SBT nlipokea gari in excellent condition hata mimi sikutarajia pia ilikuja na service card+mafuta nusu tank ya kuanzia🥹

Mpaka leo haijasumbua
Asante mkuu kwa kunipa moyo ngoja nifanye mambo
 
Agiza subaru yako mkuu,ila itunze sana hiyo picha utakayoiona ONLINE maana unaweza jikuta presha hii hapa na hujawahi kuwa na presha baada ya gari kufika na kwenda kuiona Subaru yako ni ile ile kwenye picha ila itakua imekuvunja moyo kwa 90% kwa muonekano na hali itakayokua nayo.

Gari ya 1 usiagize mwenyewe,ni ushauri tu Dont risk hela enyewe ndio hiyo hiyo.
Mkuu fafanua kidogo, kwanini ukiagiziwa na mtu unakuwa na assurance kwamba itakuja kama inavyoonekana kwenye picha?
 
M nmeagiza mwenyewe nmesave karibu 4M

Nakushauri tu,acha uoga mifumo iko very secured
Kama ukiamua kuagiza mwenyewe usiweke mtu kati

Lipa mwenyewe bank kila kitu
Ikifika wacheki clearing agent Trimex company
Wakutolew gari unawalipa laki 2 zao gharama zingine zote lipa mwenyewe wakutumie tu control number!

NOTE:mimi nliagiza SBT nlipokea gari in excellent condition hata mimi sikutarajia pia ilikuja na service card+mafuta nusu tank ya kuanzia🥹

Mpaka leo haijasumbua
Be forward unalipia kwenye USD Account CRDB kiroho safi. unaongezea 30 USD ya kutuma pesa japan
 
Japan Kuna makampuni mengi yanayouza used car, haya mnayoyafaham ni kwasababu yamejijengea umaarufu na kujikuta hata bei yanauza yanavyotaka lakini Kwa Yale yanayochipukia huitaji mzunguko was haraka wa pesa hivyo kuuza Kwa bei ndogo.
Pia sio kila muda ni mzuri Kwa kuagiza gari muda mzuri ni mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka huko minada ya magari Japan hushamiri magari
Pia kabla hujaagiza omba auction sheet
Gari ikianzia grade 3.5 sio mbaya na ikiwa grade R achana nayo
 
Back
Top Bottom