Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 177
Wakuu poleni na majukumu, leo niliingia mtandaoni kidogo kucheki magari ambapo nimepitia kampuni mbalimbali za uuzaji magari lakini katika kampuni zote kuna kampuni moja "Autocom Japan" naona bei zao ziko cheap sana hadi nikashangaa labda magari yao yana shida maana variation na kampuni nyingine ni kubwa
Hali kadhalika nikaingia kwenye kikokotoo cha TRA nione hadi gari inafika bongo itacost kiasi gani then nikalinganisha na price kwenye show room zetu au kuagiza kupitia makampuni ya uagizaji kitu nilichokigundua ukiagiza mwenyewe price inashuka sana kuna gari unapata different ya milioni 5 nikasema hii hapana labda nakosea ngoja niwaulize wadau wa mandinga kuona kama ni kweli different iko hivyo.
Pia nimegundua kama gari ni ya miaka ya zamani let say 2010 kodi yake TRA ni kubwa kuliko gari ya 2011 au 2012.
Lakini kama ni kweli why watu hawaagizi wenyewe wana opt kununua show room au kuagiza kupitia kampuni wakati price variations ni kubwa coz kama unaweza ku save not less than 3M why usiagize? Na bado hapo hujafanya bergaining na kampuni husika
Soon nitaagiza gari yangu pendwa "Subaru Forester SH5" maana kwa bajeti niliyokuwa nayo niliona kama sitoboi lakini baada ya leo kujipa muda wa kupitia kampuni mbalimbali za magari na kikokotoo nimeona nipo ndani ya bajeti
Nawasilisha.
Hali kadhalika nikaingia kwenye kikokotoo cha TRA nione hadi gari inafika bongo itacost kiasi gani then nikalinganisha na price kwenye show room zetu au kuagiza kupitia makampuni ya uagizaji kitu nilichokigundua ukiagiza mwenyewe price inashuka sana kuna gari unapata different ya milioni 5 nikasema hii hapana labda nakosea ngoja niwaulize wadau wa mandinga kuona kama ni kweli different iko hivyo.
Pia nimegundua kama gari ni ya miaka ya zamani let say 2010 kodi yake TRA ni kubwa kuliko gari ya 2011 au 2012.
Lakini kama ni kweli why watu hawaagizi wenyewe wana opt kununua show room au kuagiza kupitia kampuni wakati price variations ni kubwa coz kama unaweza ku save not less than 3M why usiagize? Na bado hapo hujafanya bergaining na kampuni husika
Soon nitaagiza gari yangu pendwa "Subaru Forester SH5" maana kwa bajeti niliyokuwa nayo niliona kama sitoboi lakini baada ya leo kujipa muda wa kupitia kampuni mbalimbali za magari na kikokotoo nimeona nipo ndani ya bajeti
Nawasilisha.