Bei za mafuta kwa Desemba 2018 zapanda. Bei hizo kuanza kutumika Desemba 05

Kagera tunanunua around Tsh 2600 mpaka 2800 karibu mwezi wa NNE kwa Petrol


Bei kikomo ya mafuta Karagwe (Kayanga) kwa sasa ni:-
Petroli Tsh 2,628
Dizeli Tsh 2,617
Mafuta ya Taa Tsh 2,512


Watu wa Dar acheni kulalalalalalama, kazi na bata mpaka 2020, nchi yapigwa pasii
Dsm akilalamika usidhani kwako bei itabakia hiyo.mtembelee zahoro baadae akupe ankra iliyopo mezani.DSM ikiwa na ahueni nawe utapata unafuu wa maisha .amalipo gakugobile?
 
Naona bei za petroli na dizeli zinalingana si mchezo mwezi januari mafuta yatakua 2700
 
food items unanunua wapi?
Nalima mwenyewe mkuu,porini mahindi nalima mwenyewe,mboga za majani nalima mwenyewe,samaki navua mwenyewe,nyama ya kumwaga,mafuta ya taa ni kuni na mkaa ambao natengeneza mwenyewe!!!
 
Nalima mwenyewe mkuu,porini mahindi nalima mwenyewe,mboga za majani nalima mwenyewe,samaki navua mwenyewe,nyama ya kumwaga,mafuta ya taa ni kuni na mkaa ambao natengeneza mwenyewe!!!
jembe? nguo uvaazo kwenda shamba? sabuni ya kufulia? unga unasaga wapi? unatania!
 
jembe? nguo uvaazo kwenda shamba? sabuni ya kufulia? unga unasaga wapi? unatania!
Kwani hivyo vifaa ndio nitanunua leo? Vifaaa ninavyo karibia mwaka wa 3 hivyo hivyo navitumia,kwani sabuni imepanda bei? sabuni ya kipande iliyokuwa inauzwa 200 baada ya mafuta kupanda inauzwa 300? Kusaga unga kwani bei yake imepanda? Si ile ile? Vitu vinavyopanda bei ni vile vinavyotelwa sehemu moja kwenda nyingine mikoa tofauti,sabuni,mahindi yote yapo huku huku kwetu,bei itapanda kwa sababu zipi?
 
Kwani hivyo vifaa ndio nitanunua leo? Vifaaa ninavyo karibia mwaka wa 3 hivyo hivyo navitumia,kwani sabuni imepanda bei? sabuni ya kipande iliyokuwa inauzwa 200 baada ya mafuta kupanda inauzwa 300? Kusaga unga kwani bei yake imepanda? Si ile ile? Vitu vinavyopanda bei ni vile vinavyotelwa sehemu moja kwenda nyingine mikoa tofauti,sabuni,mahindi yote yapo huku huku kwetu,bei itapanda kwa sababu zipi?
basi basi kwaheri
 
Chadema wako bize na Membe huku Mbowe akisotaSegerea
Nimeamini YEHODAYA na ISIS wana uafadhali wa akili kuliko wewe. Yaani hapo unaona umetoa point ya kuinanga CHADEMA wakati kiuhalisia umeipromote!? Kumbe unajua anayeweza kutetea wananchi ni CHADEMA na siyo ccm?
 
Hiv mbona hii maneno tunaiangalia tuu...yaan tayar 2400...na watu wako kimya tu fresh yaan.

France wanaandamana siku ya 5 leo.kenya waliandama.

Au wabongo tuko vzur nn kiuchum,ni mim tu ndo njaa kali
Watanzania ni waoga kutetea maslahi yetu.....tunachonga sana......wenzetu warusi bei ya mkate ikipanda wanaandamana.......wacha tukandamizwe tuu.....
 
Huku nilipo situmii chochote kinachohusiana na petrol /diesel au mafuta ya taa,ni mwendo wa baiskeli tu.
Akili ni nywele, yaani ndo akili yako iliishia hapo. Spea za baiskeli zinakwenda dukani kwa kutumia matako? Nyumbani kwako unakula mahindi bila kusaga maana mashine za kusaga wanatumia usafiri kusafirisha mahindi na wakulima wanatumia magari kupeleka mazao sokoni, Unadhani nani analipia hayo mafuta kama siyo wewe unayenunua huo unga? Mlipaji kodi siyo mfanyabiashara, ni mtumiaji wa bidhaa. Wafanyabiashara wanakusanya kodi kwa niaba ya TRA na wanatakiwa kuziwakilisha,
 
Jamani acheni tu ongezeko la mafuta nchini wanasema eti ni bei imepanda kwenye soko la dunia hii sio kweli kuna nchi mafuta hadi yanawadodea halafu hatuagizi huko


Hapo traffic nao wakakamue 50000 mpaka laki kwa makosa madogo tu hivi jamani mnatuona wenye magari tuna pesa au. ,,,,,jamani hivi vitoy tunavyoviendesha wengine nusu ya pesa tulonunulia tulipewa au tulichangiwa,,,,kuwa na gari nchi hii imegeuka laana

Wenye maduka wanatia huruma sana biashara utadhani imelogwa...cc wa salooni na nguo tulizoea mtu anasuka nywele ya elfu 50 mpaka laki sahivi wapi?????maduka ya nguo napo pamedoda nguo hazinunuliki watu wanakimbilia mitumba halafu mjue 2019 ndo mwisho wa mitumba tz si mshaambiwa tuna viwanda vyenye nguo cash?

Umeme nao utapanda nimeambiwa nyie wenye taarif 4 mmezoea unit 75 kwa 10000 au units 40 kwa 5000 mjiandae wote mnarudishwa kwenye taarif 1 units 28 kwa ten....hutaki acha......hujui tupo kwenye lait track????uchumi unakuwa sana
Petrol imepanda bei, mafuta sasa,,, mfumuko wa bei,,,, Dola sasa hivi 2400 nakufaa....nilipoingia nilikuta dola moja 5000 sasa hv imeshuka
Mpaka 2020 tutakua tushaongea lugha moja


PLEASE: MNISAMEHE NILIWAHI KUJA NA UZI NIKIDAI VYUMA HAVIJAKAZA KIUKWELI HALI NI MBAYA SANA KWELI TUTAISHI KM MASHETANI TU 2020 TUJITAFAKARI UPYA

MIMI SIJAFURAHI KABISA NIKISIKIA MTU ANASEMA "TUNAENDA VIZURI MARA "TUPO KWENYE LAITI TLACK NAPATWA NA HASIRA SANA SITAKI UJINGA SASA HIVI
 
Back
Top Bottom