Bei za mafuta kwa Desemba 2018 zapanda. Bei hizo kuanza kutumika Desemba 05

Jamani acheni tu ongezeko la mafuta nchini wanasema eti ni bei imepanda kwenye soko la dunia hii sio kweli kuna nchi mafuta hadi yanawadodea halafu hatuagizi huko


Hapo traffic nao wakakamue 50000 mpaka laki kwa makosa madogo tu hivi jamani mnatuona wenye magari tuna pesa au. ,,,,,jamani hivi vitoy tunavyoviendesha wengine nusu ya pesa tulonunulia tulipewa au tulichangiwa,,,,kuwa na gari nchi hii imegeuka laana

Wenye maduka wanatia huruma sana biashara utadhani imelogwa...cc wa salooni na nguo tulizoea mtu anasuka nywele ya elfu 50 mpaka laki sahivi wapi?????maduka ya nguo napo pamedoda nguo hazinunuliki watu wanakimbilia mitumba halafu mjue 2019 ndo mwisho wa mitumba tz si mshaambiwa tuna viwanda vyenye nguo cash?

Umeme nao utapanda nimeambiwa nyie wenye taarif 4 mmezoea unit 75 kwa 10000 au units 40 kwa 5000 mjiandae wote mnarudishwa kwenye taarif 1 units 28 kwa ten....hutaki acha......hujui tupo kwenye lait track????uchumi unakuwa sana
Petrol imepanda bei, mafuta sasa,,, mfumuko wa bei,,,, Dola sasa hivi 2400 nakufaa....nilipoingia nilikuta dola moja 5000 sasa hv imeshuka
Mpaka 2020 tutakua tushaongea lugha moja


PLEASE: MNISAMEHE NILIWAHI KUJA NA UZI NIKIDAI VYUMA HAVIJAKAZA KIUKWELI HALI NI MBAYA SANA KWELI TUTAISHI KM MASHETANI TU 2020 TUJITAFAKARI UPYA

MIMI SIJAFURAHI KABISA NIKISIKIA MTU ANASEMA "TUNAENDA VIZURI MARA "TUPO KWENYE LAITI TLACK NAPATWA NA HASIRA SANA SITAKI UJINGA SASA HIVI
Gari yenyewe ya danga lako
 
Mabadiliko ni kawaida cha msingi fata kauli ya Rais wako, fanya kazi jitume panuo wigo wa mlengo wa kujiongezea kipato. Jana nimefurahi sana kuna Mfanyakazi wa Mhimbili kalima, katafuta kijana anakuja nae kwenye Gari yake kisha ana mwachia matunda yaliyojaa kwenye buti la Gari, Dogo anakumenyea saafi vipande vizuri safi kwa Bei murua, je unafikiri huyo atalalamikia madadiliko kama haya? Hii ni kwa Nchi zote tunaitaji kutumika na Serikali, familia na jamii inayo tuzunguka, sasa huwezi kufika kama unawaza Negative.
IMG_20181205_125759_849.jpeg



Babu na Comrade former presdent Mh MUGABE kaisha sema
 
Naona moderators wameunganisha uzi wangu kuhusu kupanda bei za mafuta humu........nikisema mods hamjielewi mtamind tu?????
 
Nilosoma kuwa wajapan kati ya serikali na watu binafsi wana mafuta ya kutosha siku 160.Hii maana yake bei ya mafuta haiwezi kuathiriwa kwa siku 160 tangu ibadilike. Na huu ni mpango wa serikali.
Tanzania tuna mafuta ya kutosha siku ngapi bila kuagiza?
Thubutu ata wiki hamna.
 
Akili ni nywele, yaani ndo akili yako iliishia hapo. Spea za baiskeli zinakwenda dukani kwa kutumia matako? Nyumbani kwako unakula mahindi bila kusaga maana mashine za kusaga wanatumia usafiri kusafirisha mahindi na wakulima wanatumia magari kupeleka mazao sokoni, Unadhani nani analipia hayo mafuta kama siyo wewe unayenunua huo unga? Mlipaji kodi siyo mfanyabiashara, ni mtumiaji wa bidhaa. Wafanyabiashara wanakusanya kodi kwa niaba ya TRA na wanatakiwa kuziwakilisha,
Nishajibu hayo maswali yako tangu mwanzo!!! Relax mkuu!
 
Back
Top Bottom