Mi ccm yote ni mibashite,inajua kutoa matamko tu kupanga sera haijui.
hama mkuu unakomaa hapa ili iweje sasa..Hii nchi inatia sana huruma
Kama kawaida ya kila mwaka kipindi cha masika viwanda vya sukari vimeanza kufungwa na sukari imepanda bei.
Hapa Arusha bei ya jumla imepanda kutoka tzs 98,000 kwa mfuko wa kilo 50 hadi TZS 1050,00. Bei ya rejareja ni TZS 2,500 kwa kilo kutoka 2,200.
Tunaomba Waziri Mkuu atoe tamko kama hii ni halali na serikali inachukua hatua gani kuziba pengo kama kuna upungufu.
Haijawahi kushuka hiyo bei tangu hiyo kampeni ya kuzuia sukari inayotoka nje, kiukweli kama nchi hii tunataka tupige hatua inabidi siasa ziwekwe pembeni kwenye mambo ya kitaaluma, demand na supply ni somo pana lakini kwa ajili ya siasa viongozi wetu hawakutaka kujuua lolote kuhusu nguvu mbalimbali zinazoweza kufanya kuwe na punguzo la bei, utoshelevu wa vitu n.k. kilichofanyika ni kupiga marufuku bila kutathmini matokeo yake. Pamoja na hotuba na hamasa nyingi nashauri mambo ya kitaalam tuwaachie wataalam na mambo ya siasa yajikite kwenye siasa vinginevyo mtajipiga roba mshindwe pakutokea kama sasa, sukari inapanda wale wananchi wanyonge wanashindwa kunywa chai matokeo yake watarudi kusaga miwa kwenye kinu ili watumie utamu wake kuchanganya na maji waaite chai. Haya mambo fanyeni taratibu hatuna haraka nchim hii itakuwepo tu fanyeni hata vitu viwili vya msingi mtakumbukwa tu kuliko hizi haraka za mambo.Kama kawaida ya kila mwaka kipindi cha masika viwanda vya sukari vimeanza kufungwa na sukari imepanda bei.
Hapa Arusha bei ya jumla imepanda kutoka tzs 98,000 kwa mfuko wa kilo 50 hadi TZS 1050,00. Bei ya rejareja ni TZS 2,500 kwa kilo kutoka 2,200.
Tunaomba Waziri Mkuu atoe tamko kama hii ni halali na serikali inachukua hatua gani kuziba pengo kama kuna upungufu.
sababu aliwatunishia wafanya biashara misuli na wao wamemkazia vyuma hana la kufanya na ubabe wake wote sukari tu imemshindaFaru John alipoingia Ikulu na sukari ikapanda bei na haijawahi kushuka, na inazidi kupanda
so soda za bonite unakunywa kwa mia mbili sio!?kinachonishangaza sukari inazalishwa Kilimanjaro lakina being inakuwa sawa na wale wa mikoa ambayo sukari tunawpelekea
Hii nchi kwa drama si mchezo, hivi wale waliokamatwa na sukari kipindi kile suala hilo liliishia wapi, maana tuliahidiwa kupewa sukari bure kutoka kwa wahujumu uchumi walioficha sukari, lakini sikuona tena lolote likitendeka, tukaahidiwa kuwa bei elekezi ya sukari itakua Sh 1,700/- kwa kilo lakini wapiii, sukari inazidi kupanda mlima kilimanjaro, Kina Bashite wanaacha kusimamia mahitaji ya msingi kwa kuwa hayana kiki kama hayo mengine, ndio maana basic needs kwa wananchi wanazipotezea, mbaya zaidi pesa hakuna kitaa, tusishangae kunywa chai kwa pipi.Kama kawaida ya kila mwaka kipindi cha masika viwanda vya sukari vimeanza kufungwa na sukari imepanda bei.
Hapa Arusha bei ya jumla imepanda kutoka tzs 98,000 kwa mfuko wa kilo 50 hadi TZS 1050,00. Bei ya rejareja ni TZS 2,500 kwa kilo kutoka 2,200.
Tunaomba Waziri Mkuu atoe tamko kama hii ni halali na serikali inachukua hatua gani kuziba pengo kama kuna upungufu.
Tena asali saaafi kabisa!!Weka asali tu
😀😀😀😀😀 Daaah hapo nimekubali, tunafuane kwanza alafu mambo mengine baadae!!Bado tunachafuana kwanza, sukari baadaye