kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,799
Wakuu,
Natumai mu wazima wa afya,
Lengo la mada hii ni kutaka tupeane bei sukari kwa maeneo mbalimbali mlioko hapa nchini. Ndani ya wiki moja sukari imeongezeka kutoka tsh.105000 hadi tsh.113000 kwa kiroba cha 50kg mkoa wa Ruvuma hakuna maelezo yoyote kutokana na ongezeko hilo.
Natumai mu wazima wa afya,
Lengo la mada hii ni kutaka tupeane bei sukari kwa maeneo mbalimbali mlioko hapa nchini. Ndani ya wiki moja sukari imeongezeka kutoka tsh.105000 hadi tsh.113000 kwa kiroba cha 50kg mkoa wa Ruvuma hakuna maelezo yoyote kutokana na ongezeko hilo.