Hii nchi kwa drama si mchezo, hivi wale waliokamatwa na sukari kipindi kile suala hilo liliishia wapi, maana tuliahidiwa kupewa sukari bure kutoka kwa wahujumu uchumi walioficha sukari, lakini sikuona tena lolote likitendeka, tukaahidiwa kuwa bei elekezi ya sukari itakua Sh 1,700/- kwa kilo lakini wapiii, sukari inazidi kupanda mlima kilimanjaro, Kina Bashite wanaacha kusimamia mahitaji ya msingi kwa kuwa hayana kiki kama hayo mengine, ndio maana basic needs kwa wananchi wanazipotezea, mbaya zaidi pesa hakuna kitaa, tusishangae kunywa chai kwa pipi.