Nchi ya pili kuwa na mifugo mingi Africa nyuma ya Ethiopia
Wakati kenya mshahara wa mlinzi ni Laki 6Duuh tujikaze kidogo tutawafikia wakenya maan kwao ni 20k
Naunga mkono hoja ,kuna kasumba ya kula mboga za majani ni dalili ya kuishiwa pesa hasa uchagani🚮12,000
Iendelee kupanda hivyohivyo wasiopenda mboga za majani waanze hata kuzifikiria Tu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅. Unakaa Nairobi sehem gan? Unajua bila 15k kimasikin mlo wa sku nzima hautoshi? Mama ntilie ya 1500 bongo huku ni 6000 hadi 8000. Welcome to CBDWakati kenya mshahara wa mlinzi ni Laki 6
Kuna namna naona kula hizi nyama tumekaririshana tu , unaweza kuta nyama ya mlizi ni tamu kinouma 🤔Huku Iringa mbona hua nauziwa kilo moja kwa elfu 3 tu?
Au hua nauziwa nyama ya mlinzi?
Hata hukuNilipo ni elfu 9
Kitimoto hapa dar tunapata kwa mushii @ 14000 per 1kg.Huku kitimoto ni 8000
Sijui utakuwa wap?? maana hapo kwa wasukuma MWANZA URBAN KILO NYAMA BEI JUU.😊😊Nilipo ni elfu 9
Mkihamia huko,demand itaongezeka,hivyo watapandisha bei pia.Tuhamie kwenye utumbo...
Znz bei ya kawaida,baadhi kama maungani ni 16,000 kiloZanzibar Tsh 15,000